Dkt.Mpango aitwisha mzigo UWT Pwani
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Philip Isdor Mpango ,amemuagiza Mwenyekiti wa UWT Mkoani Pwani Zainabu Vullu kuhakikisha anavunja makundi yanayoendelea ndani ya Jumuiya hiyo, hali inayosababisha uwepo wa chuki na hata kutofanikisha shughuli za Jumuiya ipasavyo….