Author: Jamhuri
Waziri Lukuvi atoa maagizo ya Rais Samia ajali ya mgodi Nyandolwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Waziri wa nchi Ofisi ya waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge William Lukuvi akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa viongozi wa Serikali waliopo maeneo ya ajali…
JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Changamoto ya kiuchumi kwa jamii imekuwa ni kikwazo kwa baadhi watoto kuendelea na matibabu ya moyo hali iliyosababisha kuchelewa kupata matibabu ambayo yangeokoa maisha yao. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa…
Bondia Zigo kuwania mkanda wa Ubingwa wa Dunia leo
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora BONDIA Abdul Zugo wa Tabora ameahidi kumpiga kwa KO bondia kutoka India, Sameer Kumar katika pambano lao la Ubingwa wa Dunia la uzito wa kati litakalofanyika kesho katika ukumbi wa Orion Hotel Mjini Tabora. Akizungumza…