Author: Jamhuri
Bank of Afrika Tanzania yatoa msaada vituo vya watoto wanaoishi mazingira magumu
Na Mwandishi Wetu BANK of Africa Tanzania imeendelea kutekeleza sera yake ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kwa kutoa kiasi cha shilingi milioni 24 kwa vituo vinne vinavyolea watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ikiwa ni juhudi za kuboresha maisha yao hususan…
CCM yaweka mezani suluhisho la kitaifa kuwanusuru wananchi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Wakati Watanzania wakiendelea kukumbwa na wimbi la kupanda kwa bei ya mafuta linalochochea gharama za maisha, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa maagizo matano mahsusi kwa Serikali yakilenga kudhibiti hali hiyo na kulinda uchumi wa Taifa. Akizungumza…
DC Mpogolo awapongeza viongozi wa dini kuimarisha amani na maendeleo
Mkuu wa wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ambaye amemuwakilisha Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Albert Chalamila, amepongeza na kuwashukuru viongozi wa dini kwa mchango wao mkubwa wa kuimarisha na kudumisha amani lengo kuleta maendeleo katika jamii. Akizungumza…
Amani si kwa ajili ya faida ya Rais wala Serikali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aprili 5,2026 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, alishiriki Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katika tamasha hilo, Waziri Mkuu alisema kuwa…
Zelensky: Mashambulizi kwenye vituo vya nishati yasitishwe
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi kupitia kwa Marekani mpango wa kusitisha mashambulizi ya pande zote yanayolenga vituo vya nishati. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba Ukraine imependekeza kwa Urusi mpango wa kusitisha mashambulizi…





