Author: Jamhuri
Prof. Shemdoe aelekeza kusimamishwa kazi watumishi 14 wanaotuhumiwa kwa ubadhirifu wa fedha Muheza
Na OWM – TAMISEMI, Muheza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, Kwa mujibu wa Kanuni ya 37(1) ya Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2022, amemuelekeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza…
Dk Mwigulu aitaka Wizara ya Fedha kuwezesha miradi ya barabara zilizosainiwa
……………………………….. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya fedha kuharakisha upatikanaji wa fedha ili kuiwezesha Wizara ya ujenzi kuanza ujenzi wa miradi ya barabara zilizosainiwa. Amesema hayo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro alipokagua barabara…
Dk Mwigulu : Msipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji
*Asema msimamo wa Rais Dkt. Samia ni maendeleo na uwekezaji WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali wasipore ardhi za wananchi kwa kigezo cha uwekezaji kwani msimamo wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni kuwa kinara katika maendeleo…
TEWW yatakiwa kuimarisha nidhamu na uwazi katika utekelezaji wa majukumu
Na Farida Mangube, Morogoro Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) imetakiwa kuimarisha misingi ya nidhamu, uwajibikaji na uwazi katika utekelezaji wa majukumu yake ili iendelee kuwa chachu ya maendeleo ya elimu endelevu nchini. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Elimu…
Serikali Kofih kuimarisha mapambano dhidi magonjwa ya mlipuko
Na Clement Robert, WAF – Dar es Salaam Wizara ya afya kupitia maabara ya taifa ngazi ya jamii imefanya mapitio ya mradi wa kazi za mwaka wa tatu na shirika la Korea KOFIH wenye lengo la kuijengea uwezo maabara ya…





