Author: Jamhuri
Mradi wa Sequip kumkomboa mtoto wa kike Dar na Ruvuma
Na Mwandishi Wetu Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Mradi wa kuboresha elimu ya sekondari-SEQUIP imekamilisha ujenzi wa miundombinu mbalimbali katika shule mpya za Sekondari za wasichana Dar es salaam…
INEC yazindua rasmi kalenda ya uchaguzi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMediaDodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) leo Julai 26, 2025 imezindua rasmi Kalenda ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ikiwa ni hatua muhimu kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika tarehe 29 Oktoba, 2025. Uzinduzi huo umefanyika…
Mahakama yajenga uwezo wa waandishi kuripoti kwa usahihi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Katika kuhakikisha jamii inapata taarifa zilizo sahihi na zenye usawa kuhusu mwenendo wa haki nchini, Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA), imeendesha mafunzo ya kitaalamu kwa waandishi wa habari…
CCM kufanya marekebisho madogo ya katiba
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kufanyika kwa Mkutano Mkuu Maalum kwa njia ya mtandao kesho, Julai 26, 2025, kwa lengo la kujadili ajenda moja kuu ya marekebisho madogo ya Katiba ya Chama hicho. Akizungumza na…
Gavana Tutuba azindua Jarida la Uchumi Wetu, Toleo Namba 1
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, amezindua rasmi Jarida la Uchumi Wetu, Toleo Namba 1 la Julai, 2025 linaloandaliwa na Benki Kuu ya Tanzania kupitia Idara ya Mawasiliano kila baada…
Balozi CP Kaganda apokea ujumbe kutoka Tanzania kushiriki mkutano wa kikanda wa RAMSAR
Na Mwandishi Ubalozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe Balozi wa Tanzania nchini Jamhuri ya Zimbabwe CP Suzan Kaganda amempokea Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni (Mb), alieongoza ujumbe wa Tanzania kwenye…