Author: Jamhuri
TCCIA yakaribishwa kujionea fursa Songwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mkuu wa Wilaya ya Songwe Fadhil Nkurlu, ameikaribisha Chemba ya Biashara,Viwanda na Kilimo Tanzania(TCCIA) kutembelea wilaya ya Songwe na kujionea fursa mbali mbali za kiuwekezaji na kibiashara. Nkurlu alitoa ukaribisho huo jijini Dar es Salaam alipotembelea ofisi…
Mfumo wa ufundishaji wa mubashara mbioni kutumika nchini
Na James K. Mwanamyoto OR-TAMISEMI Waziri Mchengerwa ameeleza azma ya Serikari ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha Mfumo wa Ufundishaji Mubashara (live teaching) unaanza kutumika nchi nzima ili kumuwezesha mwalimu kutoka katika kituo kimoja kufundisha wanafunzi wengi kwa wakati mmoja…
Waziri Mkuu atembelea ubalozi wa Tanzania Muungano wa Falme za Kiarabu Abudha
PMO 7300 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Ubalozi wa Tanzania katika Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) alipotembelea ubalozi huo uliopo Abudhabi, Julai 25, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwaua watoto watatu kwa kuwachinja shingo Ruvuma
Na Cresensia Kapinga, JamhutiMedia, Songea. Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watu wawili na mwingine wanaendelea kumsaka kwa tuhuma za mauaji likiwemo la mwanamke mmoja kuwauwa watoto watatu kwa kuwachinja shingo na kitu chenye ncha kali wilayani Namtumbo. Akizungumza na…
Rais Samia aongoza Maadhimisho ya siku ya mashujaa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maelfu ya Watanzania katika Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika leo tarehe 25 Julai, 2025 katika Uwanja wa Mnara wa Mashujaa,…
Mradi wa Sequip kuongeza kiwango cha ufaulu Singida – RC Dendego
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wananchi wametakiwa kushirikiana na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kulimda miundombinu ya shule iliyojengwa ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi mkoani Singida. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa…