JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mahakama ya Juu Marekani yakataa ombi la Trump la kusitisha hukumu dhidi yake

Mahakama ya Juu nchini Marekani imetupilia mbali ombi la Rais mteule Donald Trump la kusitisha hukumu dhidi yake hii leo Ijumaa katika kesi inayomkabili ya uhujumu uchumi Trump alipatikana na hatia ya kughushi nyaraka kwa lengo la kuficha kiwango halisi…

Dk Gwajima aagiza kuundwa kamati za ulinzi wa watoro

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora SERIKALI imeelekeza shule zote nchini kuhakikisha zinaunda Kamati za Ulinzi wa Watoto ili kukabiliana na vitendo vya ukatili na maadili yasiyofaa kwa watoto ambayo hupelekea kuiga tabia mbaya hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao. Agizo hilo…

Jokate awapa tano vijana kwa maandalizi mazuri ya Mkutano Mkuu CCM

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM), Jokate Mwegelo amesema jumuiya hiyo imeridhishwa na kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na vijana wa chama hicho ya kuandaa ukumbi kwa ajili ya…

Polisi wathibitisha kumshikilia Dk Silaa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limethibitisha kumshikilia Dkt. Wilbroad Silaa baada ya kumkamata usiku wa kuamkia leo Januari 10, 2024. Kamanda wa Kanda Maalum Dar es Salaam, SACP Jumanne Murilo amethibitisha leo Januari 10, 2025 “Daktari…

Waziri Kabudi apokea taarifa ya vazi la taifa

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amepokea taarifa maalumu ya mapendekezo ya aina ya michoro ya vazi la Taifa kutoka kwa kamati iliyoundwa kwa ajili ya maandalizi ya vazi hilo. Waziri Kabudi amesema mchakato wa…

Mkuu wa jeshi achaguliwa kuwa rais wa Lebanon

Bunge la Lebanon limemchagua mkuu wa jeshi la nchi hiyo kuwa rais, na kumaliza ombwe la mamlaka lililodumu kwa zaidi ya miaka miwili. Joseph Aoun uliungwa mkono na vyama kadhaa vya kisiasa, pamoja na Marekani, Ufaransa na Saudi Arabia. Mpinzani…