Author: Jamhuri
Dk Biteko atoa wito vyombo vya habari kuelimisha jamii kuhusu historia ya mashujaa
📌Rais Samia mgeni rasmi Maadhimisho ya Mashujaa kesho 📌Atoa wito kwa wananchi kushiriki Maadhimisho ya Mashujaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa…
Katibu Mkuu Kiongozi kufungua mafunzo kwa watendaji wakuu taasisi za umma
Na Mwandishi Wetu -OMH Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku nne kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali. Mafunzo hayo yatakayofanyika kuanzia Julai 28-31,…
Agosti 4 kujulikana ‘mbivu na mbichi’ CCM
Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi, udiwani wa kata/ wadi na viti maalumu kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa ratiba hiyo, Agosti…
Tanzania yaonesha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na Rwanda kupitia mkutano wa 16 wa JPC
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonesha dhamira thabiti ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano na Jamhuri ya Rwanda kupitia Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC), unaofanyika jijini Kigali kuanzia tarehe 24 hadi 26 Julai 2025….
EU kuendelea kuisaidia Tanzania uchumi wa buluu
Umoja wa Ulaya (EU) umeahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika kutimiza lengo la mageuzi katika sekta ya Uchumi wa Buluu lililoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo (2050) iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt….
Taifa Stars kuvuna bil 1/- ikitwaa CHAN 2024
RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutoa zawadi ya sh bilioni moja kwa timu ya taifa ya soka, Taifa Stars, iwapo itatwaa ubingwa wa michuano ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 inayopangwa kuanza Agosti 2 hadi 30 ikiandaliwa kwa…