JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Salome aibana Kampuni ya Dongfang kwa kasi isiyoridhisha mradi wa umeme Malagarasi

📌Atoa maelekezo mahsusi kwa Mkandarasi na Wasimamizi wa mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo…

Vijana Mwanza walamba mabilioni, Waziri Nanauka akabidhi bilioni 7/-

*Vijana waapa kuonyesha maajabu*Watoa kongole kwa Rais Samia Na Byarugaba Innocent OR-MV, Mwanza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka leo Machi 7, 2026 amezindua program ya Jenga Kesho iliyobora (BBT) upande wa uvuvi kwa…