Author: Jamhuri
Mgomo wasababisha mamilioni ya abiria kukwama London
Mamilioi ya watu wanajiandaa kwa wiki ya changamoto ya usafiri jijini London Uingereza kutokana na mgomo wa treni za chini kwa chini. Mamilioni ya watu wanajiandaa kwa wiki ya hekaheka na matatizo ya usafiri jijini London Uingereza huku wafanyakazi wa…
Trump yuko tayari kwa vikwazo vipya dhidi ya Urusi
Rais wa Marekani Donald Trump ameashiria yuko tayari kuongeza shinikizo dhidi ya Urusi kwa awamu ya pili ya vikwazo. Rais wa Marekani Donald Trump alikuwa akijibu swali la mwandishi habari katika ikulu yake mjini Washington siku ya Jumapili lakini hakusema…
Bilioni 51 kutumika ujenzi wa barabara, masoko na stendi jijini Arusha
Na Mwandishi Wetu MRADI wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa ni sehemu ya uendelezaji wa Jiji hilo katika eneo la miundombinu ya barabara, masoko na…
Mnada wa PIKU waendelee kutoa bidhaa mbalimbali za kisasa kwa washindi
JUKWAA la Kidijitali la PIKU linaloendesha minada ya kipekee mtandaoni, limetangaza na kukabidhi zawadi kabambe kwa watu watatu walioibuka washindi kwa kujipatia bidhaa za kisasa na za thamani kupitia mnada huo. Mshindi wa kwanza katika mnada huo ni Jenipher Ayoub,…
Mgombea ubunge Ubungo kwa tiketi ya ACT Wazalendo aahahidi neema
Wafuasi wa Chama cha ACT Wazalendo wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya Manzese Bakresa, kushuhudia uzinduzi wa kampeni za ubunge wa mgombea wa Jimbo la Ubungo, Queen Julieth Lugembe. Katika uzinduzi huo mgombea Queen Julieth alizungumza na wananchi wa jimbo…
NIRC yaridhishwa na kasi ya ujenzi wa skimu ya Makwale – Kyela
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kyela Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopard Runji, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ujenzi wa skimu ya Umwagiliaji Makwale, iliyopo Kyela mkoani Mbeya….