Author: Jamhuri
Wadau wa mazingira kutekeleza Dira ya Maendeleo 2050 eneo la uchumi wa buluu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WADAU wa mazingira nchini wako tayari kutekeleza Dira ya Maendeleo 2050 katika eneo la Uchumi wa Buluu kwa kuwajengea uwezo wananchi kufanya shughuli endelevu na rafiki kwa bahari. Katika kufanikisha hilo wadau hao kupitia Shirika…
Vituo viwili vya kupunguza kasi ya mafuta ghafi EACOP kujengwa nchini
📌Vinalenga kupunguza kasi ya Mafuta kutoka Hoima Uganda hadi Chongoleani Tanzania 📌Ujenzi wafikia asilimia 50 📌 Mabomba ya kipenyo cha inchi 24 kutumika kusafirsha mafuta ghafi 📌 Wataalam wazawa waomba Serikali kuwa na data za kuwatambua pindi miradi inapotokea Na…
Waziri Mkuu amaliza ziara Belarus, anadi fursa za uwekwzaji
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ametumia ziara yake nchini Belarus kunadi fursa za uwekezaji katika maeneo manne ya kipaumbele ya Serikali ya awamu ya sita ambayo ni kilimo, afya, madini na ulinzi &…
Bil.36.596 za mradi wa Sequip zilivyoinufaisha Dodoma kwenye sekta ya elimu
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa maeneo ambayo yamepata fedha nyingi kupitia mradi wa kuimarisha ubora wa Elimu ya sekondari nchini SEQUIP ambapo umepokea zaidi ya Bilioni 36.596 Fedha hizo ambazo zimetolewa na serikali zimetumika kujenga…
Bodi ya TMA yakagua utendajikazi vituo vya rada ya hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imefanya ziara ya kikazi ya kukagua utendaji kazi wa Mamlaka katika kituo cha Rada ya Hali ya Hewa, Bangulo, Pugu na Ofisi za TMA…
Balozi Kambanga awakaribisha wajumbe wa Tanzania nchini Rwanda
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Rwanda, Mhe. Dkt. Habib Kambanga, amekutana na kuukaribisha rasmi ujumbe wa Tanzania uliowasili jijini Kigali kushiriki Mkutano wa 16 wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na…