JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kikwete : Maendeleo ya kiuchumi hayawezi kupatikana bila kuwepo kwa amani na utulivu

Na Mwandishi Maalum Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema maendeleo ya kiuchumi hayawezi kupatikana bila amani na utulivu, hivyo ni wajibu wa kila mwananchi kuhakikisha analinda na kudumisha…

Tanzania yaadhimisha Siku ya Iora kwa kupanda miti Mtumba na kufanya mazoezi mepesi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imeungana na Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Ukanda wa Bahari ya Hindi (IORA) kuadhimisha miaka 29 ya kuanzishwa kwa jumuiya hiyo katika hafla iliyofanyika katika mji wa Serikali, Mtumba jijini Dodoma ambapo miti ya Matunda na Kivuli imepandwa. Akiongoza maadhimisho…

TTCL yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa kutoa msaada JKCI

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAWAKE wa Shirika la Mawasiliano Tanzania ( TTCL) wameungana na Wanawake wengine kuadhimisha siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa vifaa mbalimbali kwa watoto wenye matatizo ya moyo waliolazwa Taasisi ya Moyo…

Wananchi Dodoma waishauri TBA kujenga nyumba za kupangisha kwa watu binafsi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) katika Kliniki maalum ya kutatua kero za wananchi iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma, wameshauri Wakala kuanza kujenga nyumba za makazi kwa…

Kimaro : Pwani kuadhimisha Siku ya Wanawake Ikwiriri Rufiji

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaungana na mikoa mingine nchini kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, huku kilele cha maadhimisho kimkoa kikitarajiwa kufanyika Machi 8, 2026 katika Uwanja wa Ujamaa, Kata ya Umwe, Tarafa ya Ikwiriri, Halmashauri ya…