JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yaendelea kuongoza kudumisha usalama na ushirikiano wa kisiasa SADC

Waziri wakati Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema Tanzania imeendelea kuongoza juhudi za kudumisha amani, usalama na ushirikiano wa kisiasa katika ukanda wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ikiwa Mwenyekiti…

JK kinara maandalizi ya kongamano la TICAD 9 nchini Japan

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza katika  Kongamano Maalumu kuhusu Maendeleo, Usalama wa Chakula na Uchumi Endelevu wa Bluu barani Afrika lililofanyika tarehe 23 – 24, Julai 2025 katika mji wa Hakone, Japan. Kongamano hilo lililoandaliwa kwa pamoja na…

Ujenzi wa saraja la mto Itembe, Meatu wafikia asilimia 85

Na Berensi China, JamhuriMedia, Meatu Ujenzi wa daraja kubwa la Mto Itembe, linalounganisha Wilaya ya Meatu mkoani Simiyu na Mkalama mkoani Singida, umefikia asilimia 85 na umeleta faraja kwa wananchi walioteseka kwa muda mrefu kutokana na changamoto za usafiri hasa…

Wakandarasi Mtumba wajikuta Kitanzini, Lukuvi atoa ukomo wa kukamilisha ujenzi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anaye shughulikia Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi, ametoa onyo kali kwa wakandarasi wanaochelewesha kukamilisha ujenzi wa majengo ya Wizara katika Mji wa Serikali Mtumba, akisisitiza kuwa fedha zote…

Bolt yazindua kipengele cha ‘Family Profile’ kurahisisha safari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIKA kipindi ambacho matumizi ya teknolojia yamekuwa yakikua kwa kasi na upatikanaji wa simu janja ukiwa unazidi kuimarisha ushirikishwaji wa jamii katika huduma za kisasa, sekta ya usafiri wa mtandaoni inayoongozwa na Bolt…

Benki ya Dunia kujenga mradi wa njia ya kusafirisha umeme wa KV 400 kutoka Uganda hadi Tanzania

📌Yakutana na Mhandisi Mramba kueleza uamuzi huo baada ya kujiridhisha kuwa hauna athari kimazingira 📌Yaialika Wizara ya Nishati kushiriki Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa jijini New York 📌Mramba aahidi kuendelea kushirikiana na Benki ya Dunia utekelezaji miradi ya Nishati…