Author: Jamhuri
Bajaji, bodaboda wamtega Mkuu wa Mkoa Arusha
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Wakati Jiji la Arusha likikabiliwa na changamoto ya msongamano unaotokana na wingi wa vyombo vya moto kama pikipiki maarufu kama bodaboda, bajaji na guta, bado madereva wa vyombo hivyo wamemuomba Mkuu wa Mkoa huo Kenan…
Bil. 67.507 kuimarisha sekta ya elimu sekondari Mkoa wa Lindi na Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Mradi wa kuboresha elimu ya sekondari-SEQUIP katika Mkoa wa Lindi imetoa Shilingi Bilioni 31,716 kwa ajili ya ujenzi wa…
Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema ziara yake nchini Belarus ambayo ni ya kwanza ya ngazi ya juu tokea nchi hizo zilipoanzisha uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1996, imefungua mwanzo mpya wa ushirikiano katika maeneo ya kimkakati yenye…
Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Belarus, Alexander Turchin na kujadiliana naye masuala ya uwekezaji, biashara, nishati, madini, elimu, afya, teknolojia na kilimo kwenye kikao kilichofanyika leo (Jumanne, Julai 22, 2025) ofisini kwa mwenyeji wake, mtaa wa…
Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa
RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi amewasili hapa nchini katika Mkoa wa Mtwarakwa ajili ya kuelekea Lupaso wilayani Masasi kwenye Kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati…
Maonyesho ya GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMIA ya wanafunzi wanaotaka kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi wamejitokeza kwenye maonyesho ya vyuo vikuu nje ya nchi ambapo wengi wamepata udahili wa papo kwa papo. Maonyesho hayo yaliyofanyika jana jijini Dar…