JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

CRDB yazindua Msimu wa Nne wa Semina ya ‘Instaprenyua’ kwa wajasiriamali wa biashara mtandaoni

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imetangaza rasmi kuanza kwa msimu wa nne wa semina ya ‘Instaprenyua’ jukwaa maalum linalolenga kuwajengea uwezo wajasiriamali wanaoendesha biashara kupitia mitandao ya kijamii. Semina hiyo inatarajiwa kufanyika Jumamosi Julai 26,…

Zaidi ya Trillion 1.44 zawanufaisha wananchi Geita

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkoa wa Geita umepokea kiasi cha Shilingi trilioni 1.44 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ambazo zimetumika kwenye sekta mbalimbali kama afya, elimu, miundombinu, kilimo, maji, nishati, utalii, uwezeshaji wananchi kiuchumi pamoja na miradi mikubwa…

Maendeleo ya viwanda Simiyu, mnyororo wa thamani waanza kulipa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendeleza kwa kasi jitihada za kuijenga Tanzania ya viwanda, huku Mkoa wa Simiyu ukiibuka kama miongoni mwa mikoa inayoongoza kwa kuwekeza kwenye…

Adaiwa kumuua baba yake kwa tuhuma za kutaka kumiliki mali

 JESHI la Polisi, Mkoa wa Pwani linamshikilia mkazi wa Mtaa wa Muhenza, Wilaya ya Kibaha, Rajabu Musa (23) kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Hamis Said maarufu kama ‘Mzee Mpili’ kwa tamaa ya kumiliki mali za baba yake, ikiwemo…

Muhimbili, Vodacom kutoa matibabu bila malipo kwa wakazi Tanga, Kilimanjaro

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kushirikiana na Vodacom Tanzania Foundation itafanya kambi maalum ya huduma za uchunguzi na matibabu ya ubingwa bobezi bila malipo kwa wakazi wa mikoa ya Tanga na Kilimanjaro kuanzia Julai 21 hadi 27, 2025. Kwa…