JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wapiganaji kundi la PKK wakabidhi silaha nchini Iraq

Katika tukio lililoshuhudiwa na vyombo mbalimbali vya habari, zaidi ya wapiganaji 30 wa kundi la PKK wamekabidhi silaha zao rasmi nchini Iraq. Hatua hii imekuja kama sehemu ya makubaliano ya kupunguza vita na vurugu katika eneo la Kurdistan na kuimarisha…

Ufugaji wa Sungura watajwa kama fursa mpya ya kiuchumi kwa Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam JAMII imeshauriwa kuchangamkia fursa ya ufugaji wa sungura kibiashara kutokana na soko lake linalozidi kukua nchini na faida lukuki za kiafya na kiuchumi zinazotokana na nyama yake na mazao mengine ya sungura. Akizungumza…

Wanasheria watakiwa kuongeza umakini kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza S. Johari amewataka Wanasheria kuwa walinzi na kuongeza umakini katika kutoa ushauri wa sheria zinazohusu mazingira kwa maslahi ya taifa. Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 3 Septemba, 2025…

Serikali yapima na kugawa hati kata ya Pangani kupunguza migogoro ya ardhiI

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Serikali imeandaa hati 7,000, kupima na kutambua zaidi ya viwanja 18,000, pamoja na kugawa hati miliki kwa wananchi wa mitaa ya Pangani, Kidimu na Lumumba katika Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani. Mkuu…

Monalisa aiomba Ofisi ya Msajili wa vyama kuchukua hatua kali kwa ACT Wazalendo

Monalisa Joseph Ndala, mwanachama wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, leo 03 Septemba 2025, amewasilisha malalamiko rasmi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nikiiomba ichukue hatua kali na za kinidhamu kwa haraka dhidi ya chama changu kutokana na mwenendo wake wa…

CUF kutokomeza umaskini ikiwezeshwa kuingia madarakani

Mgombea wa ubunge katika Jimbo la Morogoro Mjini kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Nyambi Athuman amesema kuwa vipaumbele vya ilani ya chama hicho ni kutokomeza umasikini kwa kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia vikundi vya uzalishaji mali kama SACCOS. Pia ni kuboresha…