Author: Jamhuri
Mradi wa Tactic kujenga barabara za lami KM 17 Manispaa ya Geita
Na Mwandishi Wetu MRADI wa TACTIC unatekeleza ujenzi wa barabara zenye urefu wa Km 17 kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita, mkoani Geita unaotarajiwa kufungua mawasiliano katika Manispaa hiyo. Ujenzi wa barabara hizo inaelezwa kuwa zitachochea biashara na…
Matumizi ya nishati safi kupikia yapata msukumo mpya
Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza baada ya baadhi ya wananchi kukabidhiwa zawadi walizojishindia kupitia kampeni ya βGesi Yenteβ inayoendeshwa na kampuni ya Oryx Energies, kama motisha ya kuhamasisha ununuzi na…
Mbio za kukinadi Chama cha Mapinduzi Geita zaanza kwa kishindo
π Majimbo 7 kati ya 9 yapita bila kupingwa π Kata 92 kati ya 122 zapita bila kupingwa π Maelfu wakusanyika kusikiliza Ilani ya CCM 2025-2030 π Dkt. Biteko awasisitiza wananchi kujitokeza kwa wingi kumpigia kura Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Sakata la muuguzi na askari kuvutana Hospitali ya Kibondo, Serikaki yatoa ufafanuzi
Na WAF β Dodoma Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na Askari wakivutana katika Hospitali ya Halmashauri ya Kibondo huku ikidaiwa askari kuvamia chumba cha kujifungulia, jambo…
RC Makalla awatembelea viongozi wa dini
. _Lengo ni kujitambulisha na kuomba ushirikiano . Asema ushirikiano wa serikali na Taasisi za dini ni muhimu. Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA Amos Makalla Leo Jumatatu Septemba Mosi, 2025 amefanya ziara ya kuwatembelea viongozi wa Dini Mkoani Arusha…
Nyenzo ya utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Watoto imepatikana
Na Salma Lusangi, JamhuriMedia, Unguja Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Abeida Rashid Abdallah amesema Mpango Jumuishi wa Malezi Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto wa Miaka Mitano (5) utakapokamilika utakuwa nyenzo muhimu ya…