Author: Jamhuri
Rostam Azizi : Utekelezaji wa Dira 2050 utategemea ubunifu, uongozi bora na mazingira rafiki kwa sekta binafsi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia Dodoma Katika uzinduzi rasmi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, uliohudhuriwa na viongozi wa juu wa Serikali, wadau wa maendeleo na wananchi, mfanyabiashara maarufu na mwakilishi wa sekta binafsi, Rostam Azizi, amewasilisha salamu zenye msukumo…
Tume ya Uchaguzi yawaondoa hofu wapinzani
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (I-NEC) imevihakikishia vyama vya siasa vyote vitakavyoshiriki uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwezi Oktoba mwaka huu kuwa vitatendewa haki sawa. Hayo yamebainishwa jana na Kamishna wa Tume…
Kamishna Kuji ahimiza watumishi kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika utendaji
Na Philipo Hassan, JamhuriMedia, Arusha Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji, amewataka Maafisa na Askari Uhifadhi wa Uhifadhi waliopo TANAPA Makao Makuu na Kanda ya Kaskazini kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika…
Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta umeleta mapinduzi ya kiuchumi kwa wananchi Tanga
📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia asilimia 64.2 📌 Timu ya wataalamu wa SULUHU wakutana na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, kueleza mafanikio ya mradi…