Author: Jamhuri
Mapessa Intertrade yapambania ujenzi viwanda vya uchenjuaji, kemikali Chunya
Si Lazima Uchimbe: Mapessa Yafungua Macho kwa Fursa Ndani ya Sekta ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Chunya Kampuni ya Uuzaji wa Vifaa na Kemikali za Uchenjuaji Madini Chunya, MAPESSA Intertrade Ltd imeiomba Serikali kuendelea kuhamasisha wadau na Wawekezaji kuanzisha…
Tume ya Madini yajipanga upya kuiboresha sekta ya madini nchini
Na MwandishinWetu, JamhuriMedia, Tanga Tume ya Madini inaendelea na kikao kazi cha menejimenti jijini Tanga chenye lengo la kutathmini utekelezaji wa majukumu yake na kuweka mikakati mipya ya kuimarisha Sekta ya Madini nchini. Kikao hicho kinahusisha Makamishna wa Tume ya…
ACT Wazalendo kujadili jinsi ya kupiga kura kwa nafasi ya rais
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kitafanya kikao cha dharura leo usiku, kujadili ni namna gani wanachama wa chama hicho watapiga kura ya rais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025. Hatua hiyo inatokana na maamuzi ya Mahakama Kuu Masjala ya…
William Ruto: Taifa limempoteza mzalendo na mwanamageuzi wa kweli
Rais William Ruto aliongoza taifa kuomboleza, akimtaja Odinga kuwa “mzalendo wa taifa ambaye ujasiri na kujitolea kwake viliunda njia ya Kenya kuelekea demokrasia na umoja. ” Viongozi kutoka barani Afrika akiwemo Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Nana Akufo-Addo wa…
Mapokezi ya mwili Odinga, Polisi wazidiwa nguvu uwanja wa ndege wa JKIA
Wafuasi wa Raila Odinga wamevamia lango kuu la uwanja wa ndege wa JKIA baada ya kuwazidi nguvu polisi waliokuwa wakilinda eneo hilo. Hali ya taharuki imetanda, huku kukiwa na wasiwasi mkubwa juu ya kitakachotokea endapo watapenya na kuingia ndani ya…





