JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mradi wa Pwani Yetu na mbinu endelevu za uhifadhi wa bahari

Na Stella Aron, JamhuriMedia,Tanga Tanzania ina zaidi ya kilomita 1,400 za pwani pamoja na eneo la uchumi wa bahari lenyeukubwa wa takriban kilomita zamraba 223,000. Rasilimali hiikubwa ya bahari ni msingi muhimu wa shughui za kiuchumi kama vile uvuvi endelevu,…

Marekani, China zatupiana ada mpya za bandari

MVUTANO wa kibiashara kati ya Marekani na China umechukua sura mpya baada ya mataifa hayo mawili kuanza kutozana ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji baharini. Marekani na China zimeanza rasmi kutoza ada za bandari kwa kampuni za usafirishaji majini…

Jeshi kutawala Madagascar kwa miaka miwili kabla ya uchaguzi

Jesh la Madagascar limechukua madaraka baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbia. Hatua hiyo inafuatia wiki kadhaa za maandamano makubwa yaliyoongozwa na vijana waliopinga umaskini, rushwa na ukosefu wa huduma za msingi. Jeshi la Madagascar limechukua madaraka kutoka kwa serikali ya…

Mbeya DC yaibuka kidedea ushindi wa kikanda katika mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025

Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia,Mbeya HALMASHAURI ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC) imeibuka mshindi wa kwanza wa kikanda katika Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025, zilizohitimishwa mkoani Mbeya, hatua iliyopongezwa na viongozi mbalimbali wa serikali. Makamu wa Rais wa…

Mavunde aahidi kujenga kituo cha kukuza, kuendeleza vipaji, michezo Ipala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtumba kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameahidi kujenga kituo cha kukuza vipaji na michezo katika eneo la Sokoine, Ipala ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za…

Dk Mpango ahitimisha mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025

Makamu wa Rais amesema hayo wakati akihutubia katika Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Kumbukizi ya Baba wa Taifa hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere pamoja na Wiki ya Vijana Kitaifa kwa Mwaka 2025 zilizofanyika Uwanja wa Sokoine Jijini…