JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bilioni 12 za Rais Samia kukamilisha ujenzi shule za sekondari Rukwa na Katavi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan imekamilisha ujenzi wa shule mbili za kisasa za Amali Wilayani Kibondo Mkoani Tabora na Wilaya ya Mlele mkoani Katavi zinazogharimu Shilingi Bilioni…

Rais Samia azindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, asisitiza utekelezaji wa vitendo na upimaji wa matokeo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 17, 2025, ameizindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, akibainisha kuwa inalenga kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati wa juu, kwa…

Rostam Azizi : Utekelezaji wa Dira 2050 utategemea ubunifu, uongozi bora na mazingira rafiki kwa sekta binafsi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia Dodoma Katika uzinduzi rasmi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, uliohudhuriwa na viongozi wa juu wa Serikali, wadau wa maendeleo na wananchi, mfanyabiashara maarufu na mwakilishi wa sekta binafsi, Rostam Azizi, amewasilisha salamu zenye msukumo…