Author: Jamhuri
Tume ya Uchaguzi yawaondoa hofu wapinzani
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (I-NEC) imevihakikishia vyama vya siasa vyote vitakavyoshiriki uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwezi Oktoba mwaka huu kuwa vitatendewa haki sawa. Hayo yamebainishwa jana na Kamishna wa Tume…
Kamishna Kuji ahimiza watumishi kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika utendaji
Na Philipo Hassan, JamhuriMedia, Arusha Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji, amewataka Maafisa na Askari Uhifadhi wa Uhifadhi waliopo TANAPA Makao Makuu na Kanda ya Kaskazini kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika…
Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta umeleta mapinduzi ya kiuchumi kwa wananchi Tanga
📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia asilimia 64.2 📌 Timu ya wataalamu wa SULUHU wakutana na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, kueleza mafanikio ya mradi…
Tanzania, IFRC wajadili kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kibinadamu Afrika Mashariki
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dodoma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Denis Londo (Mb) amelishukuru Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) kwa mchango…