Author: Jamhuri
Waziri Kombo afanya mazungumzo na bandari ya kimataifa ya Antwerp
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mshariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ametembelea na kufanya mazungumzo na timu ya uongozi wa Bandari ya Kimataifa ya Antwerp iliyopo nchini Ubelgiji ukiongozwa na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Bandari hiyo…
Mwanafunzi ajifungua na kumtupa mtoto chooni, aokolewa na kukabidhiwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linaendelea kufanya uchunguzi wa kina juu ya binti ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha nne (18) wa shule ya sekondari Nkasi ambaye amejifungua na kumtupa mtoto chooni . Akizungumzia tukio…
Wanachama vyama vya ushirika wasiwe waoga kufichua viongozi wabadhilifu- Haule
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia, Pwani Wanachama wa vyama vya ushirika nchini wametakiwa kutokuwa waoga kuwabainisha viongozi wabadhilifu ili kusaidia kuleta uhai na ustawi wa vyama vya ushirika. Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Ushirika Tanzania, Tito Haule, alitoa rai hiyo wakati…
Waziri Aweso aelekeza kufanyika utafiti wa kina wa upatikanaji wa maji Dodoma Jiji
▪️Aagiza kuongezwa mitambo zaidi ya uchimbaji visima Dodoma Jiji ▪️Akagua miradi ya maji eneo la Nala na Nkuhungu ▪️Miradi ya visima vinavyochimbwa kuzalisha maji lita 32m ▪️Hatua hizi kupunguza ukali wa mgao wa maji Jijini Dodoma Waziri wa Maji Mh….
Kikwete awasilisha ujumbe maalum wa Rais Samia Niger
Rais Mstaafu wa Tanzania na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amefanya mazungumzo na Rais wa Niger, Mhe. Jenerali Abdourahamane Tchiani katika Ikulu ya Niamey April 16, 2025. Katika mazungumzo hayo, Mhe. Kikwete ambaye…
Dk Biteko aongoza maelefu kumzika aliyekuwa Mkurugenzi TANESCO Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri mediaBunda, Mara 📌Amtaja kuwa ni hazina kubwa katika utekelezaji wa miradi ya umeme 📌Asema atakumbukwa kwa mchango wake wa kuwaunganisha wafanyakazi TANESCO. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe.Dokta.Doto Biteko leo Aprili 16,2025 ameongoza maelfu…