Author: Jamhuri
Kigoma yamulikwa miradi lukuki ya Sequip
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Serikali Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa kiasi cha zaidi ya Shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa…
Wawekezaji biashara ya Kaboni waanza kumiminika nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa Biashara ya Kaboni kutoka nchini Korea ambao wameonesha nia ya…
JK: Tanzania imepiga hatua kubwa sekta ya elimu
Na Mwandishi Wetu Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete amesema Tanzania imepiga hatua kubwa kuhakikisha watoto wanapata elimu na kusaidia kupunguza idadi ya watoto wa mtaani. Akizungumza Julai 14, katika shule ya Kibasala jijini Dar es Salaam…
Waziri Aweso atoa onyo kali kwa wakandarasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Tanzania imesisitiza kuwa hakutakuwa na nafasi ya kuongeza muda wa utekelezaji wa Mradi wa Huduma ya Maji kwa Miji 28, huku Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), akitoa onyo kali kwa…
Waziri wa Afya Burundi azindua kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Benjamini Mkapa
Na Jeremiah Mbwambo, GITEGA-BURUNDI Waziri wa Afya Burundi Dr. Baradahana Lydwine amefungua kambi maalumu ya madaktari Bingwa wa Hospitali ya Benjamin Mkapa inayo fanyika Burundi katika Mkoa wa Gitega na baadae Burundi “Nimefarijika sana kuwaona madaktari Bingwa wa Hospitali ya…
Wanahabari Afrika watakiwa kuandika habari chanya kuhusu Bara la Afrika
Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia Arusha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungìano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, ametoa wito kwa wanahabari wa Afrika kuandika habari chanya zinazolijenga Bara la Afrika badala ya kutegemea simulizi hasi kutoka vyombo vya nje. Akizungumza…