JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yanga yaichapa Stand United 8-1, yatinga nusu fainali Kombe la Shirikisho

Mabingwa Watetezi, Yanga SC  imefanikiwa kuingia hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 8 -1 dhidi ya Stand United katika…

Rais Samia amwaga bilioni 45/- kutatua tatizo la maji Jiji la Dodoma

▪️Mradi wa visima 10 Nzuguni A kuzalisha lita 20m kwa siku ▪️Visima zaidi kuchimbwa maeneo ya pembezoni ya Jiji kupunguza Mgao ▪️Waziri Aweso aweka kambi Dodoma kushughulikia suala la Maji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitahada za serikali kutatua kero ya maji…

Serikali kuboresha sekta ya sheria kwa kuajiri maafisa sheria, mawakili na mahakimu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inaendelea na jitihada katika kuboresha sekta ya sheria nchini kwa kuajiri Maafisa Sheria, Mawakili wa Serikali pamoja na Mahakimu lengo likiwa ni kuhakikisha huduma bora…

Pwani yaagiza kila Halmashauri kupanda miti milioni 1.5

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI mkoani Pwani umeziagiza Halmashauri zote za Mkoa huo, kuhakikisha zinapanda miti angalau milioni 1.5 kila moja ili kufikia lengo la upandaji miti la mwaka 2024/2025 kwa asilimia 100. Aidha kila shule iwe na kitalu…

Mawakili wasisitizwa kuishauri Serikali kwa weledi

📌Dkt. Biteko asema Serikali inatambua jitihada za Asasi za Kiraia kuhudumia Wananchi 📌Rais Samia apongezwa kwa mageuzi katika huduma za sheria nchini 📌Wawakili wahimizwa kuwa ‘marafiki’wa Mungu badala ya Mahakama 📌Dkt. Biteko ataja mikakati ya Serikali kuboresha huduma za sheria…