JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TPHPA yasaini makubaliano kuendeleza mashirikiano na taasisi ya KEM

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MAMLAKA ya afya ya mimea na viatilifu Tanzania (TPHPA) kwa kushirikiana na Taasisi ya udhibiti wa kemikali ya nchini Sweden(KEM) wamesaini hati ya makubaliano ya kuendeleza mashirikiano ya pamoja katika utendaji kazi zao . Aidha…

Chama cha Mawakili wa Serikali kukutana Dodoma Aprili 14

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Rais wa Chama Cha Mawakili wa Serikali Tanzania Deus Shayo amesema Chama hicho kinatarajia kufanya Mkutano wake Mkuu Aprili 14 hadi 15 mwaka huu Jijini Dodoma huku akiwataja zaidi ya Wanachama 2000 kuwa wanaweza kushiriki mkutano huo….

Bunge kukusanya Bil. 3/- kwa ajili ya shule ya wavulana

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema kupitia Bunge Marathon 2025 Bunge limepanga kukusanya Sh bilioni 3 kwa ajili ya ujenzi wa shule ya Wavulana ya Bunge Jijini Dodoma. Kauli hiyo ameitoa leo…

Uchaguzi Tanzania 2025; Chadema ‘yasusia’ kusaini kanuni za maadili

Na Mwandishi Wetu Chama kikuu cha upinzani nchini Chadema kimetangaza kususia kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika ambaye ndiye mwenye dhamana ya kusaini kanuni hizo kwa niaba ya chama…

LHRC kushirikiana JOWUTA kuwajengea uwezo wanahabari katika masuala ya haki zao na sheria za kazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Kituo cha sheria na haki za binaadamu(LHRC) kimeahidi kufanyakazi na Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari(JOWUTA) katika kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu sheria za kazi na sheria zinazohusu sekta ya habari. Mkurugenzi wa Uchechemuzi…

Fedha zilizokusanywa Bunge Marathoni zinatumika ipasavyo – Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania fedha zilizokusanywa katika mbio za hisani za Bunge zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa. Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Aprili 12, 2025) katika mbio za hisani za Bunge zilizolenga kuchangisha fedha za ujenzi wa Shule ya Sekondari…