JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Harmonize: Inahuzunisha sana, nimemuachia Mungu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tangu kuibuka kwa sakata la msanii Ibraah kutaka kujiondoa katika lebo ya Konde Gang, kwa mara ya kwanza Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Lebo hiyo, Rajab Abdul ‘Harmonize’ amerekodi video fupi akieleza vitu vingi…

Mwanamuziki wa injili Rehema Simfukwe atoboa siri sababu kutunga wimbo wa Chanzo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWANAMUZIKI maarufu katika Muziki wa Injili nchini Rehema Simfukwe amevunja ukimya kwa mara ya kwanza kwa kuamua kutoa sababu za kutunga wimbo wa Chanzo ambao umekuwa ukipendwa na kuvuta hisia za watu wengi…

Bondia Mandonga atoa shukrani za dhati kwa Rais Samia kuuona mchezo wa ngumi

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam BONDIA wa ngumi maarufu nchini Karim Mandonga amemshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa moyo wake wa upendo kuunga mkono mchezo wa ngumi na kuanza akitoa zawadi kwa washindi wa mapambano mbalimbali ili kuwapatia hamasa….

Mshindi wa mashindano ya Gofu ya Lina PG Tour kujulikana kesho kutwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAPENZI wa mchezo wa Gofu nchini watakusanyika Jumapili Desemba 22, 2024 viwanja vya Dar Gymkhana ili kumjua mshindi wa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour ambayo yana lengo la kumuenzi mchezaji wa…

Bongo movie watia neno kuelekea usiku wa Mafia Boxing

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Sakaam Wasanii kutoka katika kiwanda cha filamu nchini Bongo movie wametoa mitazamo yao kuelekea siku ya tarehe 26 disemba ambapo kutashuhudiwa mfululizo wa mapambano ya ngumi. Usiku huo uliopewa jina la “Knockout ya mama”…

Millen Magese amkabidhi milioni 3 mwanamitindo bora wa Samia Fashion Festival Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWANAMITINDO wa Kimataifa Millen Happiness Magese amekabidhi kitita cha Sh.milioni tatu kwa Mwanamitindo Elizabeth Masuka aliyeibuka mshindi wa Samia Fashion Festival Zanzibar mwaka 2024. Millen Happiness Magese aliyekuwa Jaji Mkuu wa Samia Fashion…