Category: Burudani
ANNA MWAOLE… Miaka 56 bado anapiga muziki
TABORA Na Moshy Kiyungi Miaka 50 ni utu uzima na kuna watu wanapofikisha umri huo huchoka. Lakini hali hiyo haipo kwa Anna Mwaole, mkongwe wa muziki mwenye umri wa miaka 56 sasa. Ni mwanamuziki aliyepita katika bendi na vikundi mbalimbali,…
S2Kizzy: Master J, sisi si chawa
DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Kauli iliyotolewa hivi karibuni na mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Joachim Kimaryo, maarufu kama Master J, imemuibua mtayarishaji ‘chipukizi’, S2Kizzy, akisema siku hizi mambo yamebadilika. Hivi karibuni, Master J amekaririwa akisema watayarishaji wa muziki…
JOSEPHINE ‘JOLLY BEBE’ Maadili ya Kiafrika lazima yatunzwe
TABORA Na Moshy Kiyungi Unenguaji ni chachu na kivutio katika muziki wa dansi na hata muziki wa Injili. Huenda mwaka 1973 ndiyo ilikuwa mara ya kwanza Tanzania kushuhudia umahiri wa unenguaji jukwaani. Wakati huo TP OK Jazz ya DRC chini…
LUIZA MBUTU… ‘Kizizi’ cha Twanga Pepeta
TABORA Na Moshy Kiyungi Miongoni mwa wasanii wa kike waliowahi kufanya makubwa enzi za muziki wa dansi nchini na kuwavutia wengi, ni Luiza Mbutu. Lakini kabla yake wamewahi kuvuma wanamuziki kadhaa wa kike maarufu kama akina Tabia Mwanjelwa, Asia Darwesh ‘Super…
Makosa ya Miss Tanzania haya hapa
DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Hatimaye Kampuni ya The Look na Kamati ya Miss Tanzania imeweka hadharani makosa sita yaliyosababisha kuenguliwa kwa Miss Tanzania 2020/2021, Rose Manfere, kuwakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, yaani Miss World. Akizungumza…
Msungu: Jamani ni sanaa tu!
DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Msanii wa filamu nchini, Stanley Msungu, amewatoa hofu mashabiki wake akisema kinachoonekana jukwaani si maisha yake halisi. Akizungumza na JAMHURI jijini hapa, Msungu anasema kumekuwa na shaka miongoni mwa mashabiki wa filamu wakihisi kwamba…