Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (1)
Wapo ambao walimsifia na wengine wakamponda wakati alipoamua kuhama kutoka kwenye lebo ya Wasafi na kuamua kusimama kivyake kama msanii anayejitegemea. Lakini hiki alichokifanya msanii Harmonize ni moja ya mambo ambayo yanaonyesha kukua kwa msanii ingawa asipocheza vema gemu inaweza kuwa ndiyo njia ya kuelekea kifo chake kisanii. Kila zama na zama zake wapo wanamuziki…