Chaka Chaka Mwanamuziki shupavu

Yvonne Chaka Chaka, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mjasiriamali, mtetezi wa haki za wanyonge na mwalimu wa wengi nchini Afrika Kusini, jina lake limeorodheshwa kwenye orodha ya wanawake 100 wenye ushawishi mkubwa Afrika. Jarida la Avance Media la Marekani ambalo hujishughulisha kutafiti na kuchapisha majina ya watu maarufu wenye ushawishi kila mwaka limeweka jina lake katika…

Read More

Fid Q kusherehekea ‘birthday’ na Kitaaolojia

Msanii wa muziki wa hip-hop, Farid Kubanda, maarufu kama Fid Q, kila ifikapo Agosti 13, husherehekea siku yake ya kuzaliwa. Mashabiki wa muziki wa Fid Q wanafahamu Agosti 13 hufanya nini kwa mashabiki wake. Fid Q hutumia fursa hiyo kukonga nyoyo za mashabiki wake kwa kuachia wimbo mpya ambao ndani yake hudhihirisha kila mwaka kwamba yeye ni…

Read More

Wasanii wa Tanzania mnakwama wapi?

Maneno ya Kiswahili yaliyotumika kwenye wimbo wa ‘Spirit’ wa Beyonce Knowles uliotoka hivi karibuni yamegusa hisia za Watanzania wengi. Si jambo geni kuyasikia maneno ya Kiswahili yakitumiwa na wasanii maarufu katika nyimbo zao, alikwishawahi kuyatumia Michael Jackson katika wimbo wake wa ‘Liberian Girl’. Hata Nas katika wimbo wa ‘Distant Relatives’ alioshirikiana na Damian Marley, mtoto…

Read More

SKIIBII kafufuka baada ya kujiua kimuziki 

‘Hivi ndivyo mtu mashuhuri hufanya’. Ni jina la wimbo wa msanii wa Nigeria, Abbey Elias, maarufu kama Skiibii Mayana ama Swaggerlee, unaomtambulisha katika soko la muziki nchini humo na pande za dunia kwa sasa. Pamoja na umaarufu ambao umeanza kumvaa kijana huyu kwa sasa, mwaka 2015 hatasahaulika kwa mbinu yake ya kuusaka umaarufu kimuziki kwa…

Read More

V.MONEY unakua kimuziki na kuikuza sanaa yako

Sikio halilali njaa, wapenzi wa muziki wa Bongo Fleva baada ya kukanyaga na kutimua vumbi mitaani kwa nyimbo za vijana wa kundi la Wasafi (WCB) sasa ni muda wa Vanessa Mdee, maarufu kama Cash Madame na wimbo wake wa ‘Moyo’. Vanessa Mdee ambaye kwa mashabiki wake anafahamika zaidi kama V. Money, ameachia wimbo wa ‘Moyo’…

Read More

‘Matusi’ hayakwepeki Bongo Fleva?

Kumekuwa na malalamiko yanayozidi kushika kasi kutoka kwa wadau wa soko la muziki wa Bongo Fleva siku za hivi karibuni, kwamba nyimbo nyingi zinazotungwa na kuimbwa na wasanii wa muziki huo zimekuwa na kasoro za kimaadili, hazina viwango vya kutosha vya ubunifu na kubwa zaidi, zimesheheni lugha ya ‘matusi’. Hiyo ni mitazamo ya wadau hao…

Read More