JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Barnaba ni almasi iliyong’arishwa THT (1)

Jina Barnaba Classic pengine si geni masikioni mwako! Huyu ni mwanamuziki na si msanii kama wanavyoitwa wengine, maana ameenea kila idara inayokidhi mwanamuziki kuitwa hivyo. Unaweza kusema Barnaba Classic ni almasi iliyong’arishwa na Tanzania House of Talents (THT), maana yeye anasema alizaliwa…

Msondo Ngoma ilikotoka (2)

Wiki iliyopita makala hii iliishia pale ambapo Gurumo alipofika katika bendi hiyo akawa kiongozi wa bendi sambamba na kuasisi mtindo wa ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’. Mtindo huo ni wa asili ya ngoma za Kizaramo. Muda mfupi, Hassan Bichuka, naye aliondoka katika bendi…

Msondo Ngoma ilikotoka (1)

Baadhi ya watu inawezekana wakawa wamekwisha kusahau kwamba kabla na baada ya Uhuru wa Tanganyika zilikuwepo bendi nyingi lakini mara baada ya Uhuru kuliundwa bendi iliyopewa jina la NUTA Jazz. Mwaka huu inatimiza miaka 55 tangu ianzishwe mwaka 1964 katika…

Sipendi kiki, kazi inanitambulisha Foby

Mwanamuziki anayetamba na kibao cha ‘Twende’, alichomshirikisha Barnaba Classic kinachoshika chati ya juu katika vituo mbalimbali vya redio na televisheni, Frank Ngumbuchi, maarufu Foby, amesema hana mpango wa kujiingiza kwenye ‘kiki’ zisizokuwa na maana. Akizungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu…

‘Konde Gang’ kuondoka WCB?

Msanii Rajab Abdul Kahali, maarufu kwa jina la ‘Harmonize, hatimaye ameandika rasmi kwa kundi la Wasafi Classic Baby (WCB) akitaka kuvunja mkataba wake na kuanza maisha mengine nje ya lebo hiyo. Akizungumza na runinga ya Wasafi, Ofisa Mtendaji Mkuu wa…

Mbalamwezi alivyoagwa kupitia mitandao ya kijamii

Baada ya kifo cha aliyekuwa msanii nyota wa Bongo Fleva, maarufu kwa jina la Mbalamwezi aliyekuwa anaunda kundi la The Mafik,  mastaa mbalimbali wa muziki wa  Bongo Fleva nchini wametumia mitandao yao ya kijamii kama Instagram  kumuaga nyota mwenzao huyo…