Queen Elizabeth Aibuka Mshindi wa Miss Tanzania 2018
Shindano la Miss Tanzania 2018 lilofanyika usiku wa Jumamosi Septemba 8, 2018 na kushuhudia Queen Elizabeth kuibuka na ushindi katika mshindano hayo. Queen alisema “Nafurahia kushinda taji ili najisikia vizuri sana asante Tanzania” akiongeza “ukiwa kama mrembo lazima ujiandae kama unavyoona warembo ni wazuri sio kwamba ni wazuri kumuonekano tu hata kichwani pia wako vizuri” na…