Category: Gazeti Letu
Padri auawa kwa kupigwa risasi
Watu wasiofahamika wakiwa na silala wamemuua kwa kumpiga risasi padri Padri Isaac Achi wa Kanisa la Katoliki nchini Nigeria. Kasisi huyo ameuawa katika parokia yake kaskazini mwa Nigeria, kisha kuchoma moto kanisa katika kijiji cha Kafin Koro . Mwili wa…
Rais Mstaafu Kikwete awapata kibarua watafiti kuhusiana na eneo la Tendaguru
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tendaguru Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne,Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watafiti wa masuala ya Malikale kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Taasisi ya Makumbusho ya Taifa la Tanzania kushirikiana…
RC Kunenga akagua uwekezaji wa uzalishaji sukari Rufiji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Rufiji Serikali mkoani Pwani,imewaasa wananchi wa Kata ya Chemchem ,Utete wilayani Rufiji Mkoani Pwani kupeana ushirikiano pamoja na mwekezaji wa mradi mkubwa wa uzalishaji Sukari Lake Agro sugar estates ,ambae anatarajia kutoa ajira zaidi ya 3,000 na…





