JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Mambo ya msingi hayatajwi madai Katiba mpya

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mjadala kuhusu hitaji la Katiba mpya bado haujakufa miongoni mwa wananchi, wanaharakati, wasomi na wanasiasa.  Lipo kundi la wale wanaodhani sasa ni muda mwafaka kwa Tanzania kuwa nayo. Pia wapo wale wanaoamini kwamba waraka…

‘Chanjo ya UVIKO-19 ishara ya upendo kwa jirani’

Na Waandishi Wetu Nia ya uchambuzi huu ni kutoa ushauri kwa watu, hususan Wakristo, katika suala la kujikinga na Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19).  Tunajua ugonjwa huu ni hatari na umeua watu wengi duniani kwa kipindi kifupi. Ni janga…

Mafisadi wajipanga

*Ni vigogo wazito serikalini, waanza figisu ujenzi wa reli ya SGR *Washirikiana na wazabuni wa nje kuhujumu ‘Lot 3’ na ‘Lot 4’ *Waanzisha kundi wakijiita wazalendo, latajwa ni fedha mbele *Kenya walipigwa bilioni 18.4 kila kilomita, wailengesha Tanzania DODOMA Na…

NIDA inavyoliwa

*Yakwama kutoa Vitambulisho vya Taifa kwa wakati *Mabilioni ya fedha za tozo yaachwa bila kukusanywa   *Ukarabati wa magari, mitambo haujafanyika bila sababu *Mkuu Kitengo cha Mawasiliano asema: ‘Hatuna majibu’ DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa…

Tunatia aibu, tunapuuzwa

Wiki iliyopita alifariki dunia mmoja wa watu niliowapenda na kuwaheshimu mno. Utendaji kazi wake uliniaminisha kuwa pengine hakuna haja ya kuwa na mfumo huu wa sasa wa Serikali za Mitaa katika miji, manispaa na majiji.  Charles Keenja, alifanya kazi kubwa…

Maendeleo yetu na kasi ya teknolojia

Maendeleo ya mtu au watu (jamii ) yanahitaji masharti mawili – JUHUDI na MAARIFA, ambayo msingi wake mkubwa ni mtu (mwananchi) na uwezo wake. Katika utaratibu huu ili mwananchi aendelee atahitaji vitu vinne ambavyo ni Ardhi, Watu, Siasa safi na…