JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Polisi Kigoma yanasa bunduki 16 za kivita kwenye msako

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Polisi mkoani Kigoma imefanikiwa kukamata jumla ya bunduki 16 aina mbalimbali zikihusishwa kutumika kwenye matukio ya uhalifu mkoani humo huku watu 13 wakikamatwa kwa tuhuma za kumiliki bunduki hizo. Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Filemon…

Majaliwa : Miaka 60 ya Mapinduzi yazipaisha sekta za elimu na afya

*Ampongeza Rais Dkt. Mwinyi kuyatekeleza malengo ya Mapinduzi kwa vitendo *Asema lazima yalindwe, yaheshimiwe na historia irithishwe kwa vizazi vyote *Asisitiza yalifanyika baada ya kuchoshwa na ubaguzi na utawala wa kikoloni *Asema uhuru tulionao sasa umetokana na ndugu zetu waliojitoa…

RC Chalamila : Marufuku ombaomba barabarani, wazagaaji

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amepiga marufuku uzagaaji wa watu kwenye maeneo yote ya msingi kama vile Tanzanite bridge na Ubungo, watoto wa mitaani na ombaomba barabarani ambapo amewaagiza Wakuu wa Wilaya kuwafukuza na wengine kuwakamata…