Category: Habari Mpya
Daktari feki akamatwa Muhimbili
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkazi wa Dar es Salaam aliyejitambulisha jina la Mussa Mawa amekamatwa katika maeneo ya Hospitali ya Taifa Muhimbili akijihusisha kutapeli wananchi wanaopata huduma kwa kujifanya daktari. Mkuu wa Idara ya Ulinzi Bw. Alfred Mwaluko amesema kuwa…
Pwani yaongoza utekelezaji mkataba wa lishe kitaifa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umeongoza kwa kushika nafasi ya kwanza kwa tathmini ya Saba (7) ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa Mwaka 2022/2023. Taarifa zilizotolewa na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa…
REA yawaneemesha wananchi kwa kukamilisha kituo cha kupoza umeme Ifakara
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kupoza Umeme kilichopo Ifakara (Ifakara Substation) na kuleta neema ya umeme wa uhakika kwa wananchi wa wilaya za Kilombero na Ulanga mkoani Morogoro, ambao walikuwa na…





