JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TMA yatoa taarifa ya mwenendo kimbunga Ialy Bahari ya Hindi Kaskazini mwa Madagascar

Kufuatia taarifa iliyotolewa tarehe 17 Mei 2024 na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuhusu kuwepo kwa kimbunga “IALY” katika Bahari ya Hindi kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar, Mamlaka inapenda kutoa mrejeo kuhusiana na mwendendo wa kimbunga hicho. Mifumo…

Act Wazalendo watoa neno kwa Serikali suala la mawasiliano

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimeishauri Serikali kushughulikia tatizo la upatikanaji wa mawasiliano ya simu, intaneti na matangazo ya Televisheni na Redio limekuwa kwani limekuwa likirudisha maendeleo ya maeneo ya vijijini na baadhi ya miji….

Misafara ya kitalii Shanghai yafana, washiriki zaidi ya 250 wajitokeza

Leo Mei 19, 2024 katika mji wa Shanghai China yamefanyika matembezi ya kitalii(Roadshows) ikiwa ni muendelezo wa Maadhimisho ya Miaka 60 ya Ushirikiano kati ya Tanzania na China na uzinduzi wa mwaka wa utalii na utamaduni uliofanyika Mei 15, 2024….

RC Chalamila ataka taasisi za elimu kuandaa mtaji wa kibinadamu

-Asema nchi za Afrika zina kila kitu lakini bado hazijawekeza vizuri katika mtaji wa kibinadamu (Human Capital). -Awataka wazazi na walimu kuwawezesha wanafunzi kutambua uwezo wao kama wanajamii wenye tija. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila…

TANROADS yaanza utekelezaji maagizo ya Waziri Bashungwa, yatangaza zabuni ujenzi madaraja ya Chakwale, Nguyami

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa ziara yake ya siku Nne mkoani Morogoro ya kukagua miundombinu ya barabara ikiwa ni utekelezaji…