
Rungu la Majaliwa latua Hazina
*‘Wajanja’ walamba Sh milioni 400 kwa siku ‘kwa kazi maalumu’ DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maofisa wa ngazi za juu wa Wizara ya Fedha na Mipango wakikabiliwa na tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma, ikiwamo kujilipa zaidi ya Sh milioni 400 kwa siku moja. Hali hii inatokea…