JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wafanyabiashara Kinondoni walia miundombinu mibovu ya Masoko

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Wafanyabishara wa Masoko ya Kigogo,Magomeni na Makumbusho katika Manispaa ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam wameiomba Serikali kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwemo uchakavu wa Miundombinu ya Maji taka,pamoja na huduma zingine Muhimu kama vile kukosa sehemu ya Kuhifadhi…

RC Ruvum:Natangaza vita endelevu na wanaokata miti

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amesema kuanzia sasa anatangaza vita endelevu na watu wote wanaokata miti kwenye misitu na wanaoharibu vyanzo vya maji.Ametangaza vita hiyo kwa nyakati tofauti wakati anazindua upandaji wa miti…

Benki ya Dunia yaridhishwa na TSC kutekelexa mradi wa BOOST

Benki ya Dunia ambayo ni mfadhili wa Mradi wa BOOST imeonesha kuridhishwa na namna Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) inavyotekeleza moja ya malengo ya mradi huo katika kuwasaidia walimu kuwa na mwenendo mwema unaozingatia miiko na maadili ya kazi…

Dugange amsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Wilaya ya Bunda

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amemsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Wilaya ya Bunda, Timothy Mwajara na amewata Mkurungenzi Bi. Changwa Mkwazo na Mganga mkuu wa Halmashauri hiyo Jamaly Kimamba kujitathimini utendaji kazi wao kwa…

Serikali kuendelea kujenga vituo vya utafiti wa madini nchini

Serikali imesema inaendelea kujenga vituo vya utafiti wa madini nchini (Ofisi za GST) kupitia Taasisi ya Jiologia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) ili kutoa huduma za upimaji wa sampuli za miamba, mbale, tope, marudio, vimiminika na udongo ili kutambua…

Bodi ya Pamba yawapa kicheko wakulima Simiyu

Zaidi ya wakulima 1,500 kutoka Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, wamepatiwa pembejeo mbalimbali za kilimo kwa ajili ya zao la Pamba vikwemo vinyunyuzi dawa, pamoja na dawa sumu lengo likiwa kupamba na wadudu wanaoshambulia zao hilo wakiwemo funza. Pembejeo hizo…