Category: Habari Mpya
Afrika Mashariki wahimizwa kutumia bidhaa za ndani
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Riziki Pembe Juma ametoa wito kwa wananchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kujivunia na kutumia bidhaa zinazozalishwa katika Jumuiya ili kuijenga Afrika Mashariki yenye uchumi…
Waziri Mkuu azindua kiwanda cha kuchakata maziwa Nsimbo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua kiwanda cha kuchakata maziwa cha MSS kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo, Mkoani Katavi ambacho kina uwezo wa kusindika wastani wa lita 10,000 kwa saa. Akizungumza baada ya kuzindua kiwanda hicho ambacho uwekezaji wake umegharimu…
Polisi yawaonya wanaopandisha bei za nauli za mabasi Arusha
Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kupitia Kupitia kikosi cha usalama barabarani mkoani humo limewaonya baadhi ya mawakala wanaopandisha nauli kiholela kipindi hiki cha mwisho wa mwaka kuwa halitowafumbia macho mawakala na wamiliki…
Waziri Majaliwa aagiza TAKUKURU kuichunguza MUWASA Katavi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Katavi awachunguze watumishi wawili akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Mazingira Mpanda (MUWASA), Hussein Nyemba kwa tuhuma za kukiuka taratibu za…
Maafisa ugani watakiwa kuwasaidia wafugaji kufuga kibiashara
Na Edward Kondela,JamhuriMedia Maafisa ugani kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa Mashariki wametakiwa kuhakikisha wanawasaidia wafugaji kufuga kibiashara na kuachana na ufugaji usio na tija. Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyonge amebainisha hayo jana Mjini Maswa, wakati…
Yanga kukutana na TP Mazembe,Simba na Vipers Kombe la Shirikisho CAF
Wawakilishi wa Tanzania katika Michuano ya Soka barani Afrika, Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) na Kombe la Shirikisho Afrika (CAF CC) tayari wamepangwa makundi ya michuano hiyo msimu wa 2022-2023. Katika droo hiyo iliyoendeshwa na Shirikisho la Soka barani…





