Category: Habari Mpya
Majaliwa: Tutumie mapato ya ndani kutekeleza miradi
………………………………………………………………………………………………………………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri nchini kutumia fedha za makusanyo ya ndani katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo badala ya kusubiri fedha kutoka Serikali Kuu pekee. Amesema hayo leo (Jumapili, Novemba 27, 2022) wakati alipokagua maendeleo ya ujenzi…
Serikali yaombwa kupiga tafu ujenzi wa kituo cha afya Liwale
Serikali imeombwa kukiunga Mkono Kijiji Cha Nambinda kilichopo katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi katika kufanikisha utekeleza wa miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo Ujenzi wa kituo Cha Afya. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kijiji Cha Nambinda Said Abdala Kowe wakati…
Ilala yafikisha asilimia 104.5 ya ukusanyaji mapato
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Kodi Ilala imetoa zawadi mbalimbali na shukrani katika kituo cha watu wenye Mahitaji Maalum cha Missionary Charity Nyumba ya amani na furaha ili kusaidia shughuli zinazoendelea katika kituo hicho. Akizungumza leo jijini Dar…
Serikali yakabidhi hati za kimila 305
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imekabidhi hati miliki za kimila 305 kwa wananchi wa vijiji vya Haubi na Mafai wilayani Kondoa ikiwa ni sehemu hya utekelezaji wa Mradi wa Kurejesha Ardhi iliyoharibika na Kuongeza Usalama wa Chakula katika Maeneo kame nchini…
Makala: Tusafishe mitaro mvua zimeanza kunyesha
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makala amewataka wakazi wa mkoa huo kuhakikisha wanafanya usafi wa mara kwa mara katika maeneo yao Ili watalii na wawekezaji waone Mkoa huo unang’aa. RC Makala ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza…





