JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Matokeo ya sensa ya wanyamapori na ripoti ya watalii wakimataifa ya 2023 kuweka hadharani

Na Mwandishi Wetu, JakmburiMedia, Arusha Serikali ya Tanzania kupitia wizara ya Maliasili na Utalii inatarajiwa kesho tarehe 22.04. 2024 kutangaza rasmi matokeo ya sensa ya wanyamapori, Pamoja na kuzindua ripoti ya Watalii wa Kimataifa walioitembelea nchini kwa mwaka 2023. Utangazaji…

SwissAid : Serikaki iangalie kwa jicho la upendeleo suala la kilimo hai na kuunga mkono

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SHIRIKA la SwissAid Tanzania limesema ili nchi kuwa na kizazi chenye afya na ardhi bora inayofaa kwa kilimo kwa siku zijazo ni muhimu kuwekeza katika kilimo hai ambacho kinazalisha mazao safi na salama. Aidha, SwissAid…

Wanafunzi CBE waonyesha vipaji lukuki siku ya taaluma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kinakusudia kuanzisha mafunzo ya uanagenzi kwa wanafunzi wanaosoma shahada ya masuala ya benki na fedha, metrolojia na viwango, ambayo yatawawezesha kusoma huku wakifanyakazi. Akizungumza katika siku ya…

Goodwill na Sapphire yakabidhi misaada kwa waathirika wa mafuriko Rufiji, Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JanhuriMedia, Pwani KIWANDA cha marumaru cha Goodwill pamoja na kiwanda cha kutengeneza vioo cha Sapphire -Mkiu , Mkuranga Mkoa wa Pwani ,kimetoa misaada mbalimbali kwa ajili ya waathirika wa mafuriko Rufiji . Kati ya misaada hiyo ni…

NEMC yashiriki maonyesho ya miaka 60 ya Uhuru

Na Mwandishi Wetu, JamhurMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limewaonya watu wanaojenga miradi bila kupata Cheti cha Tathmini ya Mazingira EIA kwenye baraza hilo kwamba wanakabiliwa na faini ya shilingi milioni 10….

Tanzania yachaguliwa makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Tanzania kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) inayosimamia uangazi, miundombinu na mifumo ya taarifa za hali ya hewa (WMO Commission for Observation, Infrastructure…