Category: Kimataifa
Urusi: Tumekiteka kijiji kingine Ukraine
Urusi imesema imekiteka kijiji kingine magharibi mwa mkoa wa Donesk nchini Ukraine Jumapili 13.07.2025 wakati vikosi vyake vikiendelea kupata mafanikio na kusonga mbele kuelekea katika mkoa jirani wa Dnipropetrovs. Wizara ya Ulinzi ya Urusi imekitaja kijiji hicho kuwa ni cha Myrne…
Jaji azuia utawala wa Trump kuwakamata ‘kiholela’ wahamiaji
Jaji wa California ameamuru utawala wa Trump ukomeshe kuwazuia ‘kiholela’ watu wanaodhaniwa kuwa nchini Marekani kinyume cha sheria. Uamuzi huo ulitolewa katika amri ya zuio la muda iliyotolewa dhidi ya serikali siku ya Ijumaa, ambayo pia inazuia maafisa wa uhamiaji…
Juhudi za kuvimaliza vita vya Ukraine zaendelea
Mgogoro wa Ukraine unaendelea kuingia katika hatua ngumu, huku mashambulizi ya kijeshi yakiendelea kuathiri maisha ya raia. Wakati juhudi za kidiplomasia, misaada ya kimataifa, na msukumo wa vikwazo dhidi ya Urusi vikiendelea kuongezeka, mataifa mbalimbali yanaonesha dhamira ya kuisaidia Ukraine…
Trump, Netanyahu wakutana tena kumaliza vita ya Gaza
Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu wamekutana kwa mara ya pili katika muda wa saa 24 huku rais huyo akizidisha shinikizo kwa Netanyahu kumaliza vita huko Gaza. Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri…
Historia ya maandamano ya Saba Saba Kenya
Kila mwaka ifikiapo Julai 7, Kenya huadhimisha Saba Saba,kama siku iliyokita mizizi katika mapambano ya muda mrefu ya demokrasia . Kilichoanza mwaka wa 1990 kama maandamano ya kijasiri dhidi ya utawala wa chama kimoja wa rais wa awamu ya pili…
Israel yaanzisha mashambulizi maeneo ya Wahouthi huko Yemen
Israel inasema imeanzisha mashambulizi kwenye bandari tatu na kiwanda cha nguvu za umeme katika maeneo yanayodhibitiwa na Wahouthi ya Yemen. Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz alithibitisha wanacholenga ikiwa ni pamoja na meli ya kibiashara ya Galaxy. Meli hiyo,…