JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Bodi ya IAEA kujadili usalama wa nyuklia wa Ukraine

Bodi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Kudhibiti Matumizi ya Nishati ya Nyuklia, IAEA, itakutana leo kujadili usalama wa nyuklia nchini Ukraine. Kufuatia mfululizo wa mashambulizi ya Urusi, nchi 13 zikiongozwa na Uholanzi zimeiomba bodi hiyo ya IAEA kukutana…

Rais Trump apanga kufanya mazungumzo na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kufanya mazungumzo zaidi na Iran kuhusu uwezekano wa kupata makubaliano ya nyuklia na kusema huenda asitumie nguvu ya kijeshi dhidi ya taifa hilo. Baada ya vitisho vya mara kadhaa vya kuivamia kijeshi Iran,…

Iran yaionya Marekani dhidi ya uvamizi wa aina yoyote

IRAN imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano likijibu kitisho cha Rais Donald Trump cha kuiingilia kijeshi. Ujumbe huo uliandika kwenye mtandao wa X kwamba Iran iko tayari…

Ndege yaanguka Colombia, watu wote 15 wafariki dunia

Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, limethibitisha. Katika taarifa, shirika hilo lilisema ndege yake aina ya Beechcraft 1900”, ilipata ajali mbaya,” lakini halikutoa maelezo…

Brazil yaruhusu kilimo cha bangi kwa matumizi ya tiba

Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi. Uamuzi huo umetokana na maelekezo ya Mahakama ya Juu ya Haki (STJ), ambayo…

CAF yaipiga faini ya dola 200,000 Morocco kwa kutaka ‘kuiba’ taulo la Senegal

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2026. Mashabiki wengi wa mpira walikuwa na hamu ya kujua hatua zipi zitashukuliwa na shirikisho hilo huku kila upande ukiamini…