JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Trump aamuru kufunguliwa tena kwa jela ya ‘watukutu’

Rais wa Marekani Donald Trump ameamuru kufunguliwa tena na kutanuliwa kwa jela kubwa ya Alcatraz iliyokuwa ikitumika kuwafunga wahalifu waliotiwa hatiani kwa makosa ya kutisha. Jela hiyo iliyokuwapo kwenye jimbo la California ilifungwa zaidi ya miaka 60 iliyopita na hivi…

Israel yaanza kuwaita askari wa akiba kuimarisha operesheni zake Gaza

JESHI la Israel limeanza kuwaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba ili “kuimarisha na kupanua” operesheni zake huko Gaza. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema “linaongeza shinikizo” kwa lengo la kuwarejesha mateka waliokuwa wameshikiliwa huko Gaza na kuwashinda…

Watu 11 wauawa wakiwemo 8 wa familia moja Ukanda wa Gaza

Mashambulizi ya Israel yaliyoelekezwa katika kambi ya wakimbizi katika mji wa Khan Younis yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 11. Miongoni mwa waliouwawa ni watoto watatu. Msemaji wa Idara ya ulinzi wa raia ya Gaza imesema mapema leo kuwa watu wanane wa…

Usalama nchini Sudan Kusini wazidi kuzorota

Balozi za Kanada, Ujerumani, Uholanzi, Norway, Uingereza, Marekani na Umoja wa Ulaya zimesema hali ya kisiasa na usalama ya Sudan Kusini “inazidi kuwa mbaya” tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo Katika taarifa ya pamoja, balozi hizo…

Man United na Tottenham zaona ‘mwezi’ michuano ya Europa

Ushindi mnono wa Manchester United na Tottenham Hotspurs kwenye mkondo wa kwanza wa nusu fainali za Ligi ya Europa zimeamsha matumaini mapya kwa vikosi hivyo vya England. Ushindi huo umeleta matumaini kwa timu hizo kushinda kombe hilo na kufuzu kushiriki michuano…

Kujiondoa kwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya – WHO

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuwa uamuzi wa kujiondoa kwa mfadhili wao mkubwa Marekani kutatingisha pakubwa miradi ya kiafya ya shirika hilo la umoja wa mataifa. Mkuu wa WHO Tedros Ghebreyesus ametoa wito kwa mataifa mengine yaendelee kuchangia ili…