JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Marekani yasusia mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini

Mkutano wa mawaziri wa masuala ya kigeni wa nchi tajiri duniani (G20) umeanza leo huko Afrika kusini. Hata hivyo, Marekani kupitia Waziri wake wa masuala ya kigeni wa Marekani Marco Rubio haitohudhuria mkutano huo. Marco Rubio alitangaza kutohudhuria kupitia kwenye…

Kenya yaijibu Sudan kuhusu uwepo wa waasi wa RSF jijini Nairobi

Baada ya Sudan kutangaza nia ya kuchukua hatua kali dhidi ya Kenya kwa kile ilichokiita kuunga mkono wanamgambo wa RSF kwa kuwapa nafasi ya kufanya mkutano jijini Nairobi, Kenya imejitokeza kueleza msimamo wake kuhusu suala hilo. Katika taarifa rasmi iliyotolewa…

Jaji aagiza Besigye arejeshwe gerezani

Mwanasiasa maarufu wa Uganda Dk Kizza Besigye amefikishwa katika Mahakama Kuu mjini Kampala kusikiliza ombi la mawakili wake la kumtaka achiliwe huru. Besigye ambaye amesusia chakula tangu wiki iliopita alionekana kudhoofika huku akiandamana na mshtakiwa mwenzake Haji Obeid Lutale. Awali…

Marekani, Urusi zakubaliana kumaliza vita Ukraine

Viogozi wa Marekani na Urusi waliokutana Jumanne mjini Riyadh, Saudia Arabia wamekubaliana kuanzisha mchakato wa amani katika mzozo wa Ukraine licha ya Kiev na washirika wake wa Ulaya kutoalikwa kwenye mazungumzo hayo. Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani na…

Trump aikosoa Ukraine baada ya mazungumzo na Urusi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameikosoa Ukraine kufuatia kauli ya Rais Volodymyr Zelensky, aliyeeleza kushangazwa na kutohusishwa kwa nchi yake katika mazungumzo ya amani yaliyofanyika Saudi Arabia. Mazungumzo hayo yalilenga kutafuta suluhisho la kumaliza vita vya Ukraine vilivyoanza karibu miaka…

Papa ashindwa kuongoza misa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, jana Jumapili ameshindwa kuongoza misa kama ilivyo kawaida yake kutokana na matatizo ya kiafya yanayomsumbua. Vatican ilithibitisha kupitia taarifa rasmi kwamba Papa Francis hatokuwa na uwezo wa kuongoza misa hiyo kutokana na changamoto…