Category: Kimataifa
Viongozi wa dunia wajiandaa kushiriki mazishi ya Papa, Roma
Italia imetangaza siku tano za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis, huku bendera ikipeperushwa nusu mlingoti kwenye majengo yote ya umma. Viongozi mbalimbali wa dunia wametangaza kushiriki maziko ya kiongozi huyo wa kiroho…
Chuo kikuu cha Harvard chaushitaki utawala wa Trump
Chuo kikuu cha Harvard kimeushitaki utawala wa rais wa Marekani Donald Trump kutaka kuzuia ufadhili kutoka kwa serikali ya shirikisho. Chuo kikuu cha Harvard nchini Marekani kimeushitaki utawala wa rais Donald Trump katika mahakama ya shirikisho jana Jumatatu katika juhudi…
Papa alifariki kutokana na kiharusi na mshtuko wa moyo – Vatican
Kifo cha Papa Francis siku ya Jumatatu akiwa na umri wa miaka 88 kimekuja baada ya kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki kukumbwa na matatizo kadhaa ya kiafya katika miaka ya hivi karibuni. Francis alifariki asubuhi Jumatatu katika makazi yake, Vatican…
Papa Francis afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Uongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Vatican kupitia Kadinali Kevin Farell umetangaza siku ya Jumatatu (21.04.2025) kifo cha Papa Francis kupitia televisheni ya Vatican. Wiki kadhaa…
Papa awatakia waumini Pasaka njema
Papa Francis amejitokeza katika Uwanja wa St Peter mjini Vatican kuwatakia “Pasaka Njema” maelfu ya waumini. Papa, 88, alitoka kwa kiti cha magurudumu na kupunga mkono kutoka kwenye roshani ya St Peter Basilica na kushangilia umati wa watu, akisema: “Ndugu…
Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi
Rais Volodymyr Zelenskiy katika Jumapili hii ya Pasaka ametaka Waukraine kutokata tamaa ya kupatikana kwa amani,akisema watarejea katika nchi yao na wavumulie kuishinda nyakati ngumu ya vita iliyodumu kwa siku 1,152. Akiwa amevaa shati la kijivu lenye nakshi ya Kiukraine,…





