Category: MCHANGANYIKO
Chumba maalum cha ufuatiliaji maafa cha kwanza Bara la Afrika chazinduliwa Tanzania
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)imezinduzi Chumba maalum cha Ufuatiliaji wa Mwenendo wa Majanga na Tahadhari ya Mapema (Situation Room for Mult-Hazard Monitoring and Early Warning) katika Kituo cha Taifa cha Operesheni…
Kailima awataka wanasiasa kuacha kuwadanganya wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari wameshauriwa kuandika ukweli kuhusiana na suala la vyama vya siasa kuitaka INEC isimamie uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa hoja kuwa sheria ya Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi…
Serikali imepanga kutumia Bajeti ya Mwaka 2024/2025 trilion 49.35/-
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kwa mwaka 2024/2025 imepanga kutumia jumla ya shilingi trilioni 49.35 kiasi hicho kinajumuisha: shilingi trilioni 15.74 kwa ajili ya ulipaji wa deni la Serikali na gharama nyingine . Ameyasema Juni 13, 2024…
Mafanikio miradi ya kusafirisha umeme yatajwa kutoka bajeti Kuu ya Serikali
Akisoma Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025, Bungeni-Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Awamu ya Sita imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa Kilovoti 400 na kituo kipya…
Mwenyekiti wa UVCCM Shinyanga atumbuliwa
Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Halmashauri kuu ya CCM Mkoa wa Shinyanya chini ya mwenyekiti wake Mabala Mlolwa kimemvua madaraka mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana UVCCM Wilaya ya Shinyanga mjini Jonathan Agustino Madete kwa kosa la utovu wa nidhamu. Akizungumza…
Serikali yawataka wananchi kufunga kifaa cha kuzuia athari za umeme majumbani
📌 Lengo ni kujilinda na athari za umeme 📌 Kapinga ataja juhudi zinazofanywa na Serikali kuimarisha hali ya umeme Jimbo la Segerea 📌 Asema usambazaji umeme vijijini unaendelea, vitongoji 4000 kupatiwa umeme 2024/2025 na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu waziri…





