JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Polisi: Tupo tayari kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na kwa haki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi JESHI la Polisi nchini limesema halitamvumilia mtu yeyote au kikundi chochote ambacho kitajihusisha na vurugu wakati wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu. Aidha, jeshi hilo limesema liko tayari kuhakikisha uchaguzi huo unafanyika kwa…

Samia: Yaliyopo ndani ya Ilani ya CCM yanatekelezeka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2025 imeshiba, ni ya ushindi, imepangiliwa bila kuacha kitu na yaliyopo ndani yanatekelezeka kuendana na mpango na uwezo uliopo. Rais…

Waandishi wa habari watakiwa kuandika habari zinazoeleza umuhimu wa maadili kwa viongozi wa umma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji (Stahiki) Sivangilwa Mwangesi amesema Sekretarieti ya Maadili itaendeleza ushirikiano na vyombo vya Habari nchini na kuvitaka kuendelea kuandika habari zinazoeleza umuhimu wa Maadili kwa Viongozi wa Umma. Jaji…

REA yahamasisha wananchi kutumia mkaa mbadala

📌Yasisitiza ni salama, gharama nafuu na ni rafiki wa mazingira 📌Yathibitisha kuendelea kuwawezesha wazalishaji wake Wakala wa Nishati Vijijini unahamasisha wananchi kote nchini kutumia nishati safi ya kupikia ikiwemo Mkaa mbadala ambao umeelezwa kuwa na gharama nafuu na ni salama…

Rushwa yazidi  kuporomoka na Kukosa Nafasi Ruvuma

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Katika kipindi kifupi cha miezi mitatu tu, Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma imeandika historia mpya ya uwajibikaji, uwazi na vita dhidi ya vitendo vya rushwa, ikiongozwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)…

CCM yatangaza vipaumbele tisa vya Ilani ya Uchaguzi 2025–2030

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza vipaumbele tisa vya Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2025–2030, ambayo itatumika kunadi sera zake kwa wananchi katika Uchaguzi Mkuu ujao.  Ilani hiyo imewasilishwa jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati…