Category: MCHANGANYIKO
Polisi waeleza kwa kina mwanafunzi aliyetekwa na kunyongwa, watekaji wataka mamilioni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya SEPTEMBA 14, 2025 liliripotiwa tukio la kutekwa nyara kwa Shyrose Michael Mabula (21) aliyekuwa mwanachuo mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha Mzumbe ndaki ya Mbeya Kitivo cha Sheria na watu wasiofahamika, ambapo Septemba 16,…
Mgombea urais CCM ahaidi kufungua ukanda wa kaskazini kiuchumi, kukamilisha miradi ya kimkakati
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kukamilisha ujenzi wa daraja la Pangani na barabara ya Bagamoyo–Saadani–Pangani–Tanga, akisisitiza kuwa miradi hiyo ni ya kimkakati kwa kufungua ukanda wa…
Dk Samia: Tanga kaeni mkao wa kula
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wakazi wa Mkoa wa Tanga kukaa ‘mkao wa kula’ kutokana na mipango ya miradi ya maendeleo itakayoufungua mkoa huo. Amesema akipewa tena ridhaa ya kuiongoza…
Serikali ya Hungary yasaini mikataba ya maendeleo Tanzania na kufungua ofisi za ubalozi nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Serikali ya Tanzania na Hungary, Wamesaini hati ya Mkataba wa hati Mashirikiano kuhusu ujenzi wa Mradi wa Usambazaji Maji kutoka Ziwa Victoria katika Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera. .Hati hiyo ya Makubaliano ni kati…
Samia azidi kumwaga neema,kujenga reli ya Tanga-Musoma, kupanua bandari
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media-Tanga MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema amejipanga kuongeza upanuzi wa Bandari ya Tanga ambao utakwenda sambamba na ujenzi wa reili ya kisasa kutoka Tanga-Arsuha mpaka Musoma yenye urefu wa kilomita…





