Category: MCHANGANYIKO
Tanzania siku si nyingi haitatawalika
Kwa siku za karibuni nchi yetu imegubikwa na mambo mengi ya kuudhi. Taifa linapokuwa na polisi wezi, waporaji na wauaji, usitarajie kwamba litaendelea kuwa salama. Taifa linapokuwa na majaji kama wale tulioambiwa na Mheshimiwa Tundu Lissu, hakika tumekwisha.
Mwakyembe, Chambo wasitishwe
BAADHI ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamemwandikia barua Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu, Balozi Ombeni Sefue wakidai kuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe anafanya kazi kwa kutumia majungu anayopelekewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Omar Chambo.
Yah: Nguvu ya maji yaja, mtaua wangapi?
Wanangu, ka-jua ka leo kananikumbusha mandhari ya miaka mingi kabla Tanganyika haijaanza kuwa jangwa la kutisha na kushindwa kuhimili hali ya ukame na wakati mwingine kukosa maji ambayo yanasababisha hadi tukose umeme na kusababisha kuyumba kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi.
Sumaye, Nagu katika vita kali
*Muhtasari wa kikao wachakachuliwa, jina la Dk. Nagu laingizwa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, kinakabiliwa na mpasuko unaosababishwa na uhasama ulioibuka kati ya Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye.
Migogoro ya ardhi ni janga
Mhariri,
Kila siku migogoro ya ardhi inaripotiwa katika nchi yetu. Kuanzia Dar es Salaam hadi mikoani ni migogoro tu.
Mabaraza ya Kata yamesahaulika
Mhariri
Mabaraza ya Kata yameanzishwa kwa mujibu wa Sheria Na. 7/85 lakini halmashauri zinazosimamia mabaraza haya zimeyatelekeza kabisa. Mimi ni Katibu wa Baraza la Kata Kwashemshi. Tangu tuteuliwe mwaka jana hakuna mafunzo yoyote yaliofanyika, kitendo ambacho ni hatari sana. Mabaraza haya yamepunguza sana mlundikano wa kesi katika Mahakama za Mwanzo na Baraza la Ardhi na Nyumba Wilaya. Napenda niishauri Serikali yangu kwamba elimu kwa wajumbe hawa ni muhimu sana, kwani ni sehemu nyingi wajumbe wanalalamika kwamba wametelekezwa. Tatizo hili halipo kwa Baraza la Kata Kwashemshi tu bali mabaraza mengi nchini malalamiko ni haya haya.
Habari mpya
- Mashirika ya Umma yatambuliwa kwa ufanisi
- Mkutano wa saba wa kimataifa sekta ya madini kufanyika Novemba 2026
- Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo
- Waziri Kombo akutana na wabunge marafiki wa Afrika wa Bunge la Japan
- Rose Migiro arithi mikoba ya Dk Nchimbi
- Amos Makalla Mkuu wa Mkoa Arusha, kuapishwa Jumanne
- Walioteuliwa Viti Maalum Tanzania Bara
- Majina ya wagombea wengine wa ubunge CCM hawapa
- CCM yatangaza majina ya wagombea ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti Maalum
- Waziri Lukuvi atoa maagizo ya Rais Samia ajali ya mgodi Nyandolwa
- JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga
- Bondia Zigo kuwania mkanda wa Ubingwa wa Dunia leo
- Mwenyekiti CCM Taifa na aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri
- Ushirikishaji jamii katika matengenezo ya barabara utaiounguzia mzigo Serikali
- Wasiojulikana wamshambulia aliyekuwa Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Same Mapande