JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko : Tanzania ina usalama wa chakula, awapongeza wakulima

📌 Asema Serikali inatambua Vyama vya Ushirika ni muhimu kuunganisha nguvu za wananchi na kujiendeleza kiuchumi 📌 Mauzo ya nje ya kahawa na tumbaku 2023/2024 yaongezeka hadi Dola za Marekani 19,300,000 📌 Maono ya Rais Samia yaanza kuonekana sekta ya…

Ewura CCC: Wananchi wadai fidia wanapocheleweshewa kuunganishiwa maji kwa siku saba za kazi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura CCC) limesema kuwa wananchi wana haki ya kudai fidia wanapocheleweshewa kuunganishiwa maji kwa siku saba za kazi baada ya kulipia. Hayo…

Wengi wavutiwa Banda la TPA maonesho Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi yanayozidi kuvutia wawekezaji wa kigeni kuja kuwekeza hapa nchini hususani katika sekta ya usafirishaji. Akizungumza na wandishi wa habari kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Bw…

Dk Jingu atoa wito kwa wanafunzi Chuo cha Maendeleo ya Jamii ufundi Misungwi kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii

Na WMJJWM, JamhuriMedia, Mwanza‎‎Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amewataka wanafunzi wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ufundi Misungwi Mwanza, kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii kwa kutumia maarifa na…