Category: MCHANGANYIKO
Wamachinga Dar waip tano Serikali kwa kuwajali, yawahimiza wananchi kushiriki chaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirikisho la Wamachinga Dar es Salaam limeimiza kuwa maamuzi ya wananchi kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu kuwa wamejipanga kushiriki kwa kuwa ni haki yao kikatiba. Katibu wa Wamachinga Mkoa wa…
Nchi za Afrika, viongozi na wafanyakazi wa Serikali kuendelea kujengewa uwezo -Kilabuka
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha WITO umetolewa kwa nchi za Afrika pamoja na viongozi wake na wafanyakazi wa serikali kuendelea kujengewa uwezo na kupata mafunzo mbalimbali na kujifunza kwa lengo hasa la kuleta tija na matokeo chanya katika.taasisi za umma…
LATRA kuendelea kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora za usafiri
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Udhibiti Usafirishaji Ardhini (LATRA) imesema kuwa itaendelea kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora za usafiri salama na nafuu. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, CPA Habibu Suluo, wakati akizungumza na waandishi wa habari…
MSD yaitembelea taasisi mwenza ya Madagascar
Watendaji wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) wakiongozwa na Meneja wa Masoko ya Kikanda, Nabila Hemed wametembelea Bohari Kuu ya Dawa ya Madagascar (SALAMA) na kuzungumza na uongozi wa bohari hiyo, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Claude Eric Ramanantoanina…





