Category: MCHANGANYIKO
Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…
Sanaa, umeme, mawasiliano zaongoza ukuaji wa sekta 2024, kilimo, ujenzi na madini zatajwa msingi wa Pato la Taifa
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetaja sekta tano zilizoongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi nchini mwaka 2024 kuwa ni sanaa na burudani, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme, habari na mawasiliano, pamoja na fedha na bima na afya. Akizungumza…
Mwanafunzi wa Tabora Girls ajifungulia chooni
Na Allan Kitwe, JamhuriMesia, Tabora MWANAFUNZI wa kike (jina limehifadhiwa) katika shule ya sekondari ya wasichana Tabora (Tabora girls) Mkoani hapa amejifungua mtoto chooni akiwa shuleni hapo hali iliyoibua sintofahamu kwa uongozi wa shule hiyo. Hali hiyo imemfanya Mkuu wa…
Majaliwa mgeni rasmi miaka 25 ya shule za Green Acres
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 25 ya kuanzishwa kwa shule za Green Acres. Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi wa shule hizo, Jacklyne…
Tanzania yapiga hatua mapambano dhidi ya saratani
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tanzania ni miongoni mwa nchi tisa barani Afrika zinazofanya vizuri katika matibabu ya saratani kutokana na uwekezaji mkubwa ambao Serikali imefanya katika kukabiliana na tatizo hilo katika hospitali mbalimbali zikiwemo za kanda. Hayo yalielezwa June 12,2025 bungeni…
Uingereza yaadhimisha siku ya mfalme Charles
Na Lookman Miraji Taifa la Uingereza huadhimisha siku maarufu nchini humo, ijulikanayo kama siku ya mfalme Charles wa tatu(KING CHARLES III ). Siku hiyo ni miongoni mwa sikukuu za kitaifa nchini humo ikiwa imebeba maana kubwa kwa watu wa taifa…