Category: MCHANGANYIKO
Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya umeme kwenye maeneo ya kimkakati – Kapinga
📌 Maeneo 300 tayari yamefikkwa 📌 Asisitiza gharama ya kuunganisha umeme Vijijini ni shilingi 27,000/- Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye maeneo ya kimkakati nchini ikiwemo maeneo ya migodi midogo,…
Fedha za CSR za Barrick Bulyanhulu kuendelea kufanikisha miradi ya jamii Nyang’hwale
👉Mgodi kutoa shilingi bilioni 1.07 kwa utekelezaji wa miradi ya mwaka huu Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nyang’hwale Uwekezaji wa kampuni ya Barrick nchini yenye ubia Serikali nchini kupitia kampuni ya Twiga unazidi kuleta manufaa kwa wananchi ambapo mgodi wa Barrick…
Upanuzi kituo cha kupoza umeme Mbagala mbioni kukamilika
📌Awamu ya kwanza ya upanuzi wa Kituo Megawati 45 yakamilika 📌Asema wananchi wa Mbagala na Temeke watapata umeme wa uhakika. 📌Awataka wananchi wa Mbagala kuendelea kuwa wavumilivu wakati wa utekelezaji wa Mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi…
Zaidi ya bilioni 17/- kusambaza umeme vitongojini Singida
📌Kunufaisha Kaya 3,960 kutoka katika Vitongoji 120 ndani ya Wilaya Tano 📌Vitongoji 15 katika kila Jimbo la uchaguzi kunufaika 📌RC Dendego amshukuru Rais Samia na aipongeza REA kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhakikisha vitongoji vyote vilivyosalia vinapatiwa umeme Na Mohamed…
Waziri Chana atoa wito kwa nchi wanachama kushirikiana katika uwekezaji wa teknolojia
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Rais mpya wa Baraza la 14 la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka (LATF), Balozi Dkt. Pindi Chana, ametoa wito kwa nchi wanachama wa Mkataba huo kushirikiana katika uwekezaji wa teknolojia, uvumbuzi, na mifumo ya kisasa…
Majaliwa ateta na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Côte d’Ivoire, Robert Beugre Mambe na kujadiliana naye masuala ya kidiplomasia, kiuchumi, teknolojia, kilimo na michezo kwenye kikao kilichofanyika ofisini kwa mwenyeji wake, Boulevard Angoulvant Plateau, jijini Abidjan. Akitoa ufafanuzi mara…