JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia aongoza Watanzania mazishi ya hayati Cleopa Davis Msuya wilayani Mwanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza waombolezaji katika ibada ya kuuaga mwili wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri…

Dk Biteko awasili nchini Morocco kwa ziara ya kikazi

📌Ushirikiano Tanzania, Morocco kuimarishwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewasili nchini Morocco kwa ziara ya kikazi inayolenga kukuza na kuimarisha mahusiano kati ya nchi hizi mbili katika Sekta ya Nishati. Mara baada ya kuwasili, Dkt….

Siasa zisiingizwe JWTZ

Na Manyerere Jackton, JamhuriMedia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni chombo nyeti. JWTZ ndiyo taasisi iliyoendelea kukosha nyoyo za Watanzania tangu kuanzishwa kwake miongo mingi iliyopita. Unyeti wake unatulazimu sote tunapoijadili, tuijadili kwa weledi, staha na kutambua dhima kubwa iliyonayo kwa usalama…

Serikali yadhamiria kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara sekta ya utalii

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imedhamiria kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji katika Sekta ya Utalii ili ichangie kikamilifu katika Uchumi na maendeleo ya Taifa kwa ujumla. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana ameyasema…

Msajili Hazina: Ni wakati wa Tanzania kunadi fursa za uwekezaji kimataifa

Abidjan, Ivory Coast – Katika jukwaa kubwa la viongozi wa taasisi za kibiashara barani Afrika, maarufu kama Africa CEO Forum, Tanzania imeendelea kujidhihirisha kama taifa linalochomoza kwa kasi kiuchumi na kuvutia uwekezaji wa kimataifa. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza…