JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Askofu Mono: Shikeni na kuyaenzi mambo makuu manne aliyoyaacha Msuya

Askofu mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mwanga, Daniel Mono amewataka wananchi wa Wilaya ya Mwanga kuyashika na kuyaenzi mambo makuu manne aliyoyaacha Cleopa Msuya. Askofu Mono amesema Wilaya ya Mwanga ilipata kiongozi na mbunge…

RC Babu : Taifa litakumbua Cleopa Msuya wa unyenyevu, uchapakazi

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema taifa litamkumbuka Cleopa Msuya kwa unyenyekevu, uchapakazi na hakuwa na majivuno. Babu alisema hayo wilayani Mwanga jana wakati akitoa salamu za mkoa kwenye misa ya kuaga mwili wa Cleopa Msuya aliyekuwa Mbunge…

Rais Mwinyi ahudhuria kisomo cha hitma na dua kumuombea marehemu Salimni Amour Juma Masjid Jamiu Z’bar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi,akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhajj Dkt.Salmini Amour Juma, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua ya kumuombea…

Waziri Mkuu: Serikali inaithamini sekta binafsi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofanya kazi kwa karibu sana na sekta binafsi ili kukuza uchumi na kuleta maendeleo kwa wananchi wake. Ametoa kauli hiyo wakati akishiriki mjadala uliojumuisha mawaziri wakuu wanne kutoka Tanzania, Ivory…

Dk.Chana:Tanzania yavuna dola bilioni 3.3 kupitia sekta ya utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesema   sekta ya utalii nchini imeingiza mapato ya Dola za Kimarekani bilioni 3.3 kutokana na ongezeko kubwa la idadi ya watalii kufikia 5,360,247, ikiwa ni pamoja na watalii wa ndani 3,218,352 na wa…

Serikali yafanya tathmini ya changamotoza maziwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imefanya tathmini ya kina ya hali ya mazingira ya Ziwa Tlawi lililopo mkoani Manyara na kuandaa taarifa iliyobainisha changamoto mbalimbali ambazo zinatishia uhai na uwepo wa ziwa pamoja na mifumo ikolojia yake. Hayo yamesemwa…