Category: MCHANGANYIKO
Serikali yajenga bandari nyingine Zanzibar kulinda mazingira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI inajenga bandari nyingine nje ya Manispaa ya Mtwara Mikindani itakayotumika kusafirisha bidhaa chafuzi kwa mazingira na afya kama vile saruji na makaa ya mawe, ili magari yote yanayobeba makaa ya mawe kupita nje ya…
Senyamule: Kila Mtanzania awe mjumbe wa mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki katika maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupinga Dawa za Kulevya Duniani, akisisitiza kuwa tatizo hilo ni tishio la moja…
Waziri Mkuu ammwagia sifa Mkurugenzi Mkuu STAMICO, avutiwa na mafanikio makubwa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa Majaliwa amevutiwa na utendaji na mafanikio iliyopata Shirika la Maendeleo la Taifa (STAMICO) kwa kipindi kifupi. Pongezi hizo alizotoa leo tarehe 24 Juni,2025 jijini Dodoma katika hotuba yake wakati wa uzinduzi…
Ahukumiwa kwenda jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka 2
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Singida imemuhukumu mkazi wa Kijiji cha Unyianga, katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida, Omari Hamisi (23) adhabu ya kutumikia kifungo cha maisha jela…
Nchimbi: Maoni yoyote kuhusu amani ya Tanzania hayatapuuzwa
*Awahakikishia viongozi wa dini, taasisi za kijamii na kimila *Awapongeza wanawake kusimamia amani Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa maoni yoyote yanayolenga kuhakikisha Tanzania inaendelea kudumisha amani na utulivu, hayajawahi kupuuzwa na…
Bajeti 2025/2026 yapita kwa kishindo , hakuna kura ya hapana
KATIKA hali isiyo ya kawaida wabunge wa upinzani wamepiga kura ya ndiyo kwa bajeti Kuu ya Serikali hali iliyoibua shangwe kwa wabunge wa Chama cha Mapinzi kwa kuwapigia makofi yanayoashiria furaha yao kwa kitendo hicho. Hali hiyo imejiri jana Bungeni…