Category: MCHANGANYIKO
Serikali yaihakikishia CWP uchaguzi huru, haki na wazi
Serikali imeihakikishia Timu ya Waangalizi ya Uchaguzi ya Wabunge-Wanawake kutoka Jumuiya ya Madola (CWP) kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025 utakuwa huru, haki na wazi. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mambo…
Wasira asema Samia ameweka utaratibu Serikali,vyama vya siasa kuteta
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Stephen Wasira amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameweka utaratibu mzuri wa Serikali na vyama vya siasa kusikilizana. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wakati wa kuhitimisha mkutano wa…
Nchimbi: Watanzania wameridhika na utendaji wa Rais Samia
Mgombea Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa mgombea urais wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan. Dk Nchimbi ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi ya kusalimia maelfu ya wananchi wakati wa…
Kamati ya siasa amani Pwani yaviasa vyama vya siasa visiwe chanzo cha vurugu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani VIONGOZI wa dini kupitia Kamati ya Amani Mkoa wa Pwani wameviasa vyama vyote vya siasa na wagombea kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi, na kuepuka kuwa chanzo cha vurugu wakati wa mchakato wa kupiga kura….
Uthamini wa fidia mradi wa SGR kipande cha sita Tabora – Kigoma waendelea kwa kasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha 6 kutoka Tabora hadi Kigoma linaendelea kwa kasi katika wilaya sita za mikoa hiyo. Wilaya hizo ni Tabora Mjini,…
Mbeya waimarisha ulinzi na usalama
Kuelekea uchaguzi Mkuu, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limejipanga vizuri kuhakikisha Amani, Utulivu na Usalama vinatawala muda wote. Akizungumza mara baada ya kufanya doria za Magari, Miguu na Mbwa wa Polisi kuzunguka maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya, Kamanda…





