JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Mwigulu : Kazi zinazoweza kufanywa na wazawa zisifanywe na wageni

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania zisifanywe na wageni isipokuwa zile zinazohitaji utaalamu ambao nchi inaupungufu. Vilevile, Waziri Mkuu amekemea tabia ya baadhi…

Waziri Kombo afanya mazungumzo na Balozi wa Burundi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amefanya mazungumzo na Balozi wa Burundi, Mhe. Leontine Nzeyimana jijini Dodoma Januari 14, 2026. Viongozi hao walisisitiza umuhimu wa kufanya kazi kwa karibu kati ya Tanzania…

Serikali : Matumizi ya teknolojia za kidijitali katika elimu ni muhimu

Na Mwandishi Wetu, Dodoma‎ ‎SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesema matumizi ya teknolojia za kidijitali katika elimu ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa na maandalizi ya rasilimali watu wenye ujuzi unaoendana na mabadiliko ya teknolojia na soko la…

Dk Nchimbi ateta na Balozi wa Japan nchini Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Mikami Yoichi, mazungumzo yaliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, leo tarehe 14 Januari 2025. Mazungumzo hayo yamelenga…

Polisi wafanya uchunguzi wa mtuhumiwa aliyejinyonga akiwa mahabusu Moshi

JESHI la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linafanya uchunguzi wa tukio la kujinyonga kwa mtuhumiwa aitwaye Michael Lambau (18), mkazi wa mtaa wa Karikacha, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi akiwa mahabusu katika kituo cha Polisi Moshi Kati. Kwa mujibu kwa…

Norland yashauri Watanzania kupima afya zao mara kwa mara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kutokana na kuongezeka kwa magonjwa yasiyoambukiza nchini ambayo yanaendelea kuathiri nguvu kazi ya Taifa kwa kushambulia watu wa rika mbalimbali, Watanzania wameshauriwa kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara na kuzingatia kanuni bora…