Category: MCHANGANYIKO
Wenye akili wapo Ikulu!
Rais Jakaya Kikwete alipoamua kuleta suala la Katiba mpya kupitia ilani yake ‘mbadala’, wapo waliomshangaa.
Nakumbuka niliandika makala iliyosema, “Nitakuwa wa mwisho kuishabikia Katiba mpya”. Hiyo haikuwa na maana kwamba sikutambua wala kuthamini matamanio ya Rais wetu kuwaachia Watanzania Katiba nzuri!
KWA HILI LA OKWI Yanga inahadaa mashabiki wake
Edgar Aggaba, mwanasheria wa Emmanuel Okwi, nyota wa soka wa kimataifa kutoka Uganda, hakufika Dar es Salaam kusimamia kesi ya mchezaji huyo wakati Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ilipojadili mkataba na usajili wake katika klabu ya Yanga.
Lovy Longomba Gwiji aliyetokea katika familia ya wanamuziki
“Mtoto wa nyoka ni nyoka.” Usemi huu wa wahenga unajionesha wazi kwa baadhi ya familia zilizojaaliwa kuwa na vipaji vikubwa.
Vipaji hivyo vinaweza kuwa vya kucheza mpira, muziki, kucheza sarakasi, riadha, ndondi n.k.
Warioba, Spika Sitta wateketeza Sh 100bil
Mchakato wa Katiba haukuandaliwa vizuri
Kama tujuavyo Bunge la Mabadiliko ya Katiba limekumbwa na vurugu na misukosuko kiasi cha kutia aibu Taifa letu.
Nashindwa kusema Bunge hilo liliendelea kujadili Rasimu ya Katiba kwa ukaidi wa nani. Maana wakati wote magenge mbalimbali ya watu waliendelea kudai Bunge hilo lisitishe shughuli zake, hasa baada ya wabunge wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kususia Bunge hilo.
ongezi JWTZ kwa kutimiza miaka 50 -2
Juma lililopita, nilitoa pongezi kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa Septemba Mosi, 1964. Ukweli Jeshi hili liliasisiwa baada ya Jeshi la Tanganyika (Tanganyika Rifles-TR) kuasi Januari 20,1964.
- Rais Chapo afungua Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, jijini Dar es Salaam
- Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
- Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000
- Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi
Habari mpya
- Rais Chapo afungua Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, jijini Dar es Salaam
- Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
- Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000
- Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi
- Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi Hospitali ya Butiama Kizurira Nyerere
- Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027
- JET highlights critical role of CSOs in combating desrtification ahead of UNCCD COP17
- Tanzanite yang’aa Sabasaba wananchi wavutiwa na upekee wake
- WRRB, Misri wajadili ushirikiano wa kibiashara kupitia mfumo wa stakabadhi ghala
- Waziri Sangu : Taasisi za dini ni nguzo ya amani, malezi bora
- Tanzania kung’ara kimataifa mkutano wa COP 12
- Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia na Barrick kupeleka tabasamu shuleni
- Maafisa vipimo wawatembelea wajasiriamali Sabasaba na kutoa elimu ya vipimo
- BRELA yawanoa wafanyabishara vijana wanaoshiriki Sabasaba