Category: MCHANGANYIKO
Pongezi ‘JAMHURI’, Maimuna Tarishi mapambano ya mauaji ya tembo
Tunaomba kukupongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, na baadhi ya wadau kwa kufungua baadhi ya fahamu za Watanzania wazalendo na wanyonge, na huo ndiyo uongozi bora kwa viongozi wapenda maendeleo ya nchi yao.
Mheshimiwa Sitta acha kututania!
Nyalandu aanza kulipa ndege aliyofadhiliwa
Mara baada ya Balozi Khamis Kagasheki kujiuzulu kutokana na shinikizo la wabunge kadhaa, baada ya taarifa ya James Lembeli juu ya Operesheni Tokomeza kuwasilishwa bungeni Novemba, mwaka jana; Lazaro Nyalandu, wakati huo akiwa ni Naibu Waziri katika Wizara ya Maliasili na Utalii, alisafiri sana huku na kule nchini.
‘Hatuchukui tena makapi ya CCM’
Niliposoma maneno hayo katika Gazeti la Mwananchi toleo Na. 5098, Jumanne, Julai 8, 2014, ukurasa wa mbele (na maelezo uk. 4: Siasa) nilipigwa na butwaa!
Lakini nilitaka nijiridhishe na kile nilichokisoma kwa kuwapigia simu wahusika — Gazeti la Mwananchi. “Haya mliyoandika mna hakika yametamkwa na Dk. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)?”
Operesheni saka wachawi yatikisa Geita
Vikongwe waauwa
Operesheni haramu ya mauaji ya kinyama dhidi ya wanawake vikongwe, inayofanywa na kikundi cha Chinja Chinja isipodhibitiwa mkoani wa Geita, kuna hatari ya hazina hiyo muhimu kwenye Taifa kumalizika kwa kuuawa bila hatia.
Mwanamke aliyenusurika kifo kisa dini
Meriam Yahia Ibrahim Ishag au Maryam Yahya Ibrahim Ishaq ni raia wa Sudani kwa anayeishi nchini Marekani katika Jimbo la Philadelphia kwa sasa, kutokana na kukimbia nchini kwake baada ya kupona hukumu ya kifo kwa madai ya kuasi dini yake.
- Rais Chapo afungua Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, jijini Dar es Salaam
- Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
- Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000
- Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi
Habari mpya
- Rais Chapo afungua Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba, jijini Dar es Salaam
- Rais wa Msumbiji, Daniel Francisco Chapo awasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
- Wizara ya Nishati yawahamasisha watoto kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
- Salome : Wananchi wanaopitiwa na miundombinu ya umeme waunganishwe huduma kwa sh 27,000
- Mchecu: Masoko ya mitaji kufungua fursa za uchumi
- Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi Hospitali ya Butiama Kizurira Nyerere
- Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027
- JET highlights critical role of CSOs in combating desrtification ahead of UNCCD COP17
- Tanzanite yang’aa Sabasaba wananchi wavutiwa na upekee wake
- WRRB, Misri wajadili ushirikiano wa kibiashara kupitia mfumo wa stakabadhi ghala
- Waziri Sangu : Taasisi za dini ni nguzo ya amani, malezi bora
- Tanzania kung’ara kimataifa mkutano wa COP 12
- Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia na Barrick kupeleka tabasamu shuleni
- Maafisa vipimo wawatembelea wajasiriamali Sabasaba na kutoa elimu ya vipimo
- BRELA yawanoa wafanyabishara vijana wanaoshiriki Sabasaba