JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

UVCCM yazindua Mfumo wa Kijani Ilani Chatbot

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida amezindua rasmi Mfumo wa Kijani Ilani Chatbot ambao utawarahisishia vijana kupata taarifa kuhusu utekelezaji wa Ilani ya…

Jaji Mkuu awakumbusha waajiri kuwasilisha michango ya wafanyakazi

·       Asema Mahakama haitosita kusimamia sheria dhidi ya waajiri wanaokiuka masharti ya sheria ·       Wafanyakazi nao wasisitizwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo bila kusukumwa na kuwa na ujasiri ili kutoa taarifa za ukiukwaji wa sheria za usalama mahala pa kazi na taarifa muhimu nyinginezo Na…

Waziri Kombo awalisi nchini Singapore kwa ziara ya Kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahamoud Thabit Kombo amewasili nchini Singapore kwa ziara ya kikazi inayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 25 -29 Agosti 2025.  Akiwa katika ziara hiyo Waziri Kombo atashiriki katika matukio mbalimbali…

Marafiki wa Tanzania watoa msaada wa vifaa vya elimu Kipalapala

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MARAFIKI wa Tanzania kutoka nchini Italia (Amici Della Tanzania) wametoa msaada wa vifaa vya elimu na kuboresha vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Kipalapala iliyoko katika kata ya Itetemia Mjini Tabora. Vifaa vilivyokabidhiwa ni…

Waziri Gwajima azindua mradi wa kusaidia watoto wanaoishi na kufanyakazi mtaani

Na WMJJWM-Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amezindua mradi wa kuwasaidia watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani (Children in Street Situation (CiSS) utaotekelezwa katika mikoa ya Dar Es Salaam,…

Mradi wa TACTIC kubadilisha mandhari ya Jiji la Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Jiji la Dodoma, Dkt. Fredrick Sagamiko ameeleza kuwa ujio wa mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) umekuwa na manufaa makubwa kwa kuwa sehemu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali katika jiji…