JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma

📌 Awataka wafurukute kuonesha umuhimu wa kadsa yao kwa Taifa 📌 Asema Wizara ya Nishati itashirikiana maafisa hao kusambaza umeme na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia 📌 Rais Samia apongezwa kwa kuongeza ajira za maafisa maendeleo ya jamii…

Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga

📌 REA yapata kibali kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia katika Shule 115 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema hadi kufikia mwezi Machi 2025 takribani Shule za Serikali 216 zimehamia katika matumizi ya…

Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Serikali mkoani Mara imekabidhi hati mbili za shamba la umwagiliaji la Bugwema lililopo katika halmashauri ya Musoma vijijini kwa Tume ya Taifa ya Umwagilaiji. Mashamba hayo ni maalumu kwaajili ya kuanza ujenzi wa miundombinu ya…

CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi

Na Manka Damian , JamhuriMedia ,Mbeya CHAMA cha Kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupandisha mshahara kwa watumishi wa umma kwani ameweka historia kwa nchi nahaijawahi kutokea kwani Rais amegusa maisha ya…

TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) mkoa wa Arusha umetimiza maagizo ya serikali kwa kuanza rasmi kutumia Mfumo mpya wa kidigitali wa Usimamizi wa kazi za matengenezo (MUM) ambao unatajwa kuwa suluhisho la kuondoa urasimu…