Category: MCHANGANYIKO
Dk Tulia aitaka dunia kukabiliana na vikwazo vinavyokwamisha wanawake
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameongoza majadiliano muhimu yaliyoandaliwa na UN Women kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, yaliyolenga kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto…
Wakandarasi walioshinda zabuni wakabidhiwa maeneo ya mradi Bukoba
Na Mwandishi Wetu, Bukoba Wakandarasi walioshinda zabuni ya kutekeleza miradi ya TACTICS Manispaa ya Bukoba yenye thamani ya Sh bilioni 40, wamekakabidhiwa maeneo ya kutekeleza miradi tarajiwa katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Akizungumza na wananchi mapema leo, Mkuu wa…
Dk Biteko atoa wito vyombo vya habari kuelimisha jamii kuhusu historia ya mashujaa
📌Rais Samia mgeni rasmi Maadhimisho ya Mashujaa kesho 📌Atoa wito kwa wananchi kushiriki Maadhimisho ya Mashujaa Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa…
Katibu Mkuu Kiongozi kufungua mafunzo kwa watendaji wakuu taasisi za umma
Na Mwandishi Wetu -OMH Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk. Moses Kusiluka anatarajia kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mafunzo ya siku nne kwa watendaji wakuu wa taasisi, mashirika ya umma na wakala wa serikali. Mafunzo hayo yatakayofanyika kuanzia Julai 28-31,…
Tanzania yaonesha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na Rwanda kupitia mkutano wa 16 wa JPC
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeonesha dhamira thabiti ya kuimarisha na kuendeleza ushirikiano na Jamhuri ya Rwanda kupitia Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC), unaofanyika jijini Kigali kuanzia tarehe 24 hadi 26 Julai 2025….
EU kuendelea kuisaidia Tanzania uchumi wa buluu
Umoja wa Ulaya (EU) umeahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika kutimiza lengo la mageuzi katika sekta ya Uchumi wa Buluu lililoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo (2050) iliyozinduliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt….





